analysis yako ni ya kitoto sana.
jipange.
kuna kitu kinaniumiza kichwa.....
kuhusu kipindi cha MKASI cha Salama Andunje Jabir...alipomfanjia tu intavyuu Kanumba haikupita mda akafariki,Lulu nae baada ya intavyuu haikupita mda kitu cha kunyea debe kikamuhusu,haya sasa kipindi cha wiki ilopita alikuwa SAJUKI imepita siku moja tu nae huyooo katuaga!!!!! NINI HIKI!!??
hakika hii ni analysis ya kitoto sana.
Nimefuta kauli wajameni
we siku hizi umekuwa mods au umetumwa?ivi ukiacha kucomment hoja za watu itakuwa nini? za kwako ziko wapi ambazo imara?acha kujishau wengi twakujuaWatu wengine bana. Hoja dhaifu. Utadhani wapiga ramli. Sasa ndio umeanzisha mada gani hapa? Kama huna cha kuandika, tulia kimya. Au futa uanachama wako hapa JF.
Kaondoe na tulipo-REPLY WITH QUOTE... Siku nyingine utajifunza na kuleta analysis zenye akiliBaaas nimekoma nimeiondoa nyie watu mna maneno kama mawe!!!
Wale wale......... wanaodhani makosa yao yanafichwa na makosa ya wenginewe siku hizi umekuwa mods au umetumwa?ivi ukiacha kucomment hoja za watu itakuwa nini? za kwako ziko wapi ambazo imara?acha kujishau wengi twakujua
Usifute kauli tuu, nenda kafute na vyombo...Nimefuta kauli wajameni
Watu wengine bana. Hoja dhaifu. Utadhani wapiga ramli.
nenda na ww kahojiwe tuone itakuaje..nahic kama utavuta vile
duuh akili ni nywele...