Vikatuni?January hapendi uadui kama mwendazake, hivyo nchi inahitaji watu wasiopenda visasi.
Vikatuni?January hapendi uadui kama mwendazake, hivyo nchi inahitaji watu wasiopenda visasi.
January atarudi kwenye system.Huyu alikosea mahesabu kwa kuipuuza nyota ya Magu. Ingemtoa jumla kisiasa bahati mbaya hakuona mbali sasa itamfutilia mbali jumla
Mkuu Makamba aliyetajwa hapa ni Yusuph(Baba yake January)
Ukosawa kweli Wewe January awe raisi? Zaidi ya asante kwa Mzee makamba toka kwa JK aliwahi Fanya nini? Afadhali tumpe mlemavu wa ubeligijiNa declare interest, Mimi binafsi namkubali Sana January, Sana Sana.
Ila naanza kupata mashaka kuwa pengine Kuna namba, nguvu kubwa inatumika. Ni kiongozi mzuri, ila mbona Kama nguvu inakuwa nyingi sana.
Amekuwa waziri kwa muda mrefu, ana mazuri yake sawa.
Nimeshangazwa hata yule dada wa US nae anampigia chapuo na sio Mara ya kwanza, kwa nini anapigiwa Sana promo?
Hapa hakuna walakini? Yote kwa yote namkubali Sana na natamani siku moja aje kuwa namba 1, Ila hizi promo afanye namna aepukane nazo.
Hamuary ukiachiliq mapungufu yake ila kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana.Na declare interest, Mimi binafsi namkubali Sana January, Sana Sana.
Ila naanza kupata mashaka kuwa pengine Kuna namba, nguvu kubwa inatumika. Ni kiongozi mzuri, ila mbona Kama nguvu inakuwa nyingi sana.
Amekuwa waziri kwa muda mrefu, ana mazuri yake sawa.
Nimeshangazwa hata yule dada wa US nae anampigia chapuo na sio Mara ya kwanza, kwa nini anapigiwa Sana promo?
Hapa hakuna walakini? Yote kwa yote namkubali Sana na natamani siku moja aje kuwa namba 1, Ila hizi promo afanye namna aepukane nazo.
Mimi mwenyewe nilikuwa namkubali ,,,lakini baada ya zile clips za Nape,Makamba na Kinana kuvuja wakipanga mipango imani yangu ilitoweka kabisa kwa huyo brother.Na Veronica France sasa hivi ndo anaibua uozo mwingine zaidi ,yaani ni shidaJanuary ni mpigaji na anaongoza kishikaji, akiukwaa wengi watapewa mapande kama enzi za JK, wizi utarudi na uwajibikaji utaondoka kwa sababu itakuwa serikali ya washikaji.
Kingine nilichojifunza ameweka pesa nyingi sana kuutaka Urais 2025, hajajifunza kwa EL, yoyote ambaye anaonekana mroho wa madaraka ni wa kuogopwa kama ukoma.
January atarudi kwenye system.
Kuhusu Magu, Magu naye hakuwa fair kwa mzee Makamba, Mzee Makamba amewahi kulalamika kiutu uzima kuwa ushauri wake umewahi kuitwa wa "kipumbavu" na Magufuli
Pia Musiba ambaye tunajua alikuwa ni kijana wa Magu alikuwa akimvujia heshima Mzee Makamba
Sasa mtu anayedharau baba yako huwezi kumpenda!
Ila kwa michezo ya kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2015 kupitia kile tunachokiita goli la Mkono, January hafai kuwa raisi
Ukivuruga chaguzi za wananchi huna tofauti na mhaini, kwa hiyo hufai kuprwa dhamana za juu za uongozi wa nchiSystem ipi ambayo hayuko unayo maanisha hapa?
Hafai kwasababu ya kuvuruga uchaguzi au hana uwezo kwa maana ya CV mazonge mazonge na vitu kama hivyo?
Ukivuruga chaguzi za wananchi huna tofauti na mhaini, kwa hiyo hufai kuprwa dhamana za juu za uongozi wa nchi
SijuiVikatuni?
hyo sio mapenzi unampenda halafu unatia walakin tena.Na declare interest, Mimi binafsi namkubali Sana January, Sana Sana.
Ila naanza kupata mashaka kuwa pengine Kuna namba, nguvu kubwa inatumika. Ni kiongozi mzuri, ila mbona Kama nguvu inakuwa nyingi sana.
Amekuwa waziri kwa muda mrefu, ana mazuri yake sawa.
Nimeshangazwa hata yule dada wa US nae anampigia chapuo na sio Mara ya kwanza, kwa nini anapigiwa Sana promo?
Hapa hakuna walakini? Yote kwa yote namkubali Sana na natamani siku moja aje kuwa namba 1, Ila hizi promo afanye namna aepukane nazo.
Kwani mwizi uliisha lini hapa Tanzania?January ni mpigaji na anaongoza kishikaji, akiukwaa wengi watapewa mapande kama enzi za JK, wizi utarudi na uwajibikaji utaondoka kwa sababu itakuwa serikali ya washikaji.
Kingine nilichojifunza ameweka pesa nyingi sana kuutaka Urais 2025, hajajifunza kwa EL, yoyote ambaye anaonekana mroho wa madaraka ni wa kuogopwa kama ukoma.
Umekuja nayo hii, vizuri ..ila sijaupokea vema..Tusubili uzao Mpya labda utakosa kasoro bt kwa wanasiasa tulonao wote wana madoa kuwatofautisha ni utashi tu bt January ana kariba ya uongozi ni state body.
Waingereza wana msemo waoNa declare interest, Mimi binafsi namkubali Sana January, Sana Sana.
Ila naanza kupata mashaka kuwa pengine Kuna namba, nguvu kubwa inatumika. Ni kiongozi mzuri, ila mbona Kama nguvu inakuwa nyingi sana.
Amekuwa waziri kwa muda mrefu, ana mazuri yake sawa.
Nimeshangazwa hata yule dada wa US nae anampigia chapuo na sio Mara ya kwanza, kwa nini anapigiwa Sana promo?
Hapa hakuna walakini? Yote kwa yote namkubali Sana na natamani siku moja aje kuwa namba 1, Ila hizi promo afanye namna aepukane nazo.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Siku January akiwa raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania nitaingia msituni.