Msamaha alienda kuomba. Mengine namkubali, Ila hii nguvu anayotumia Ina walakini sanaHuyu ndo mtu pekee ambae hakuenda kumpigia magoti kumuomba msamaha marehemu aliyekuwa anajifanya Mungu
HakikaMakamba namwona kama ni Lowasa ajaye, kwa promo anazopigiwa sidhani kama Kuna kiongozi atataka kufanya kazi naye.
Maana anawapambe Sana mitandaoni lakini ukija kwenye uhalisia hakuna lolote zaidi ya ujanja wa kucheza na maneno.
Kuna uzi mwembamba Sana unaomtenganisha Mwanaharakati na Makamba.
Alienda kuomba wapi na lini? Lete chanzo chako cha habariMsamaha alienda kuomba. Mengine namkubali, Ila hii nguvu anayotumia Ina walakini sana
You have summed it up. Jamaa hafai hafai na hafai. Halafu yuko desparate kweli kweli kupata uongozi hasa urais. Watu wa aina hii ni wa kuogopa sana. Hata uwaziri hafai.January ni mpigaji na anaongoza kishikaji, akiukwaa wengi watapewa mapande kama enzi za JK, wizi utarudi na uwajibikaji utaondoka kwa sababu itakuwa serikali ya washikaji.
Kingine nilichojifunza ameweka pesa nyingi sana kuutaka Urais 2025, hajajifunza kwa EL, yoyote ambaye anaonekana mroho wa madaraka ni wa kuogopwa kama ukoma.
Hakika mwanaharakati sasa ameanza kudhihirika kuwa ni JanuariMakamba namwona kama ni Lowasa ajaye, kwa promo anazopigiwa sidhani kama Kuna kiongozi atataka kufanya kazi naye.
Maana anawapambe Sana mitandaoni lakini ukija kwenye uhalisia hakuna lolote zaidi ya ujanja wa kucheza na maneno.
Kuna uzi mwembamba Sana unaomtenganisha Mwanaharakati na Makamba.
Shida ya humu sijui ni usahaulifu au basi tu?Alienda kuomba wapi na lini? Lete chanzo chako cha habari
mzee mbona hakuna mbaya unavyomkubali wewe ndivyo na watu wanavyomkubali tatizo niniNa declare interest, Mimi binafsi namkubali Sana January, Sana Sana.
Ila naanza kupata mashaka kuwa pengine Kuna namba, nguvu kubwa inatumika. Ni kiongozi mzuri, ila mbona Kama nguvu inakuwa nyingi sana.
Amekuwa waziri kwa muda mrefu, ana mazuri yake sawa.
Nimeshangazwa hata yule dada wa US nae anampigia chapuo na sio Mara ya kwanza, kwa nini anapigiwa Sana promo?
Hapa hakuna walakini? Yote kwa yote namkubali Sana na natamani siku moja aje kuwa namba 1, Ila hizi promo afanye namna aepukane nazo.
Ni kiongozi mzuri, Ila asionyeshe Kama anautaka Sana uraisi kwa kuwa watu wataanza kumuwekea shaka.You have summed it up. Jamaa hafai hafai na hafai. Halafu yuko desparate kweli kweli kupata uongozi hasa urais. Watu wa aina hii ni wa kuogopa sana. Hata uwaziri hafai.
Unamwongelea mkubwa au mdogo? Maana mkubwa ndo aliomba msamaha pamoja na kina kinana
Mkuu muda utasema tuweke akiba ya manenoSawa tu, Sina shaka na Hilo. Ila hii nguvu inayotumika inaleta wasiwasi pengine Kuna pesa inatumika kufanya hivyo
Namkubali Sana na nilikuwa mmoja wa watu niliotaka wapige 2015, nilinunua Hadi t-shirt yake ya " tuo8 January "mzee mbona hakuna mbaya unavyomkubali wewe ndivyo na watu wanavyomkubali tatizo nini
Hana uzuri wowote kwenye uongozi. Umeshasikia misimamo yake kuhusu mambo ya muhimu? Ni mnafiki hakuna. Bora Magufuli mara milioni moja kuliko huyu.Ni kiongozi mzuri, Ila asionyeshe Kama anautaka Sana uraisi kwa kuwa watu wataanza kumuwekea shaka.
Aache kutumia watu kumpigia promo
Smart response.Samia ameingia ikulu kwa matakwa ya katiba. Hana mtandao wala mshenga kwenye urais wake.
Mdogo, mbona hata post zipo humu? Mkubwa kesi yake ilikuwa tofauti yeye aliitwa na chama, Ila huyu mdogo alimuomba msamaha JPM na hivyo kesi yake haikwenda chamaniUnamwongelea mkubwa au mdogo? Maana mkubwa ndo aliomba msamaha pamoja na kina kinana
January ni “mshikaji “. Kuna watu neema zao wanaziona January akiingia ikulu.Na declare interest, Mimi binafsi namkubali Sana January, Sana Sana.
Ila naanza kupata mashaka kuwa pengine Kuna namba, nguvu kubwa inatumika. Ni kiongozi mzuri, ila mbona Kama nguvu inakuwa nyingi sana.
Amekuwa waziri kwa muda mrefu, ana mazuri yake sawa.
Nimeshangazwa hata yule dada wa US nae anampigia chapuo na sio Mara ya kwanza, kwa nini anapigiwa Sana promo?
Hapa hakuna walakini? Yote kwa yote namkubali Sana na natamani siku moja aje kuwa namba 1, Ila hizi promo afanye namna aepukane nazo.