Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,904
Sawa babaNajua haumjui january vizuri tafuta CV yake enzi za JK alikuwa mbabe na mwenye kiburi kama bashite enzi za jiwe
NB: yeye kipindi cha Jk alikuwa waziri au naibu waziri wa habari na mawasiliano kama sikosei ndo walipandisha vifurushi vya data wananchi tulilalamika wee tukala za uso, tukaenda kipindi cha uchaguzi 2015 hapo ndo niona rangi yake uchaguzi ukafanyika mda wamatokea alikiwa kuwa anasema maneno mabaya moja ya kauli zake "CCM haiwezi kutolewa mdalakini kwa njia ya makalatasi " mwisho wakunuu baada ya mda mchache matokeo ya zanzibar yakafutwa chini ya Jecha matokeo yalikuwa yanaonesha seffu anaenda kushinda
Ni mmoja wa vijana wa Jk wapo kwa ajili ya familia zao na matumbo yao