Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Wee Ni mchanganyaji nn

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bas ww Ni mtumiaji mzuri sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unalewesha me kuna jamaa yangu ndo vitu vyake siku moja nikamwambia hebu nionje nilishindwa kutembea nilikua naskia kizungu zungu balaa,,kiufupi ni upuuzi tu ugoro hajna mzuka wowote kama bangi
 
Inaitwa 'orgumbau' kwa kimaasai. Sio ile ya kunusa na huwa inatumiwa na wazee. Tobacco pamoja na magadi, eroo achana na hiyo kitu nchore lai. Ukiitumia na wewe sio mzoefu magoti huwa yanaisha nguvu ghafla na kichwa kinalegea hadi unatafuta sehemu ya kukaa chini. 😆 Nkaimoguarani, ushoo tapala roi!
 
orpayani aroroki doi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Lkn orkunbau Ni sigara bhna ndio tobako amabyo Bado hajapita kiwandani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Asante
Kwa hiyo ugoro unaliwa ama unavutwa kama sigara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…