Mwanza pia inanyeshaKuna mvua Kubwa sana inanyesha hapa usiku huu Nipo ndani lakini nahisi ni ya mawe,
Hata usingizi hauji kutokana na hofu.
Mvua ni kubwa kwa kweli kama itakuwa na madhara kesho tutapata taarifa rasmi.
Hamna hata manyunyu dar huku kigamboniDar kimyaaa
Naona mda huu imepungua pungua ni vimanyunyu.Kutakuwa na maeneo ambayo yameleta athari maana sio kwa mvua hii
Yani na hizi taarifa za kimbunga nilidhani kutakuwa na upepo yani hata jani la mgomba halitikisiki. Labda baadae sijuiDuh poleni, maisha ya hilo jiji ni changamoto sana aisee
Labda asbh kwa kweliYani na hizi taarifa za kimbunga nilidhani kutakuwa na upepo yani hata jani la mgomba halitikisiki. Labda baadae sijui
pole sana anza kuchukua mazoezi ya kuogelea!Kuna mvua Kubwa sana inanyesha hapa usiku huu Nipo ndani lakini nahisi ni ya mawe,
Hata usingizi hauji kutokana na hofu.
Mvua ni kubwa kwa kweli kama itakuwa na madhara kesho tutapata taarifa rasmi.