Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Malipo ya elfu 7 yamekung'oa ubongo ! mkidhulumiwa mnakuja kulialia hapa hapa jf ! umasikini ni fedheha sana !Kuna Muda nasahau kabisa nikidhani CHADEMA ndo chama kikuu cha Upinzani ndo mpaka nikumbushwe kwamba ni ACT,
Labda Chadema wakiwakubali wale 19 ndo itakuwa Chama kikuu cha Upinzani!
Isiwe Tabu sana tupiganie kushika madaraka kabisa
Britanicca
Usihangaike na waliolipwa kuja jf kupiga uongoKimakaratasi CHADEMA ni chama kikubwa zaidi of course kura za Lissu plus majimboni wanawaacha ACT zaidi ya kura 1.8m sasa unasemaje ACT ndio main opposition?
Unadai kujigawa zaidi.... Hvi ni chama gani zaidi ya CHADEMA chenye uwezo wa kusimamisha Mwenyekiti wa mtaa/kijiji walau 90% ya Tanzania? ACT tu ina wanachama laki 1 hao wagombea itawatoa wapi???
Bado hakuna mbadala wa CHADEMA ndio maana licha ya kuporwa majimbo yote bado tu ina wabunge 20!! Even though haiwatambui
We jamaa una roho ngumu sana ! kura za maoni uliambulia sifuri yenye masikio , hivi bado hukati tamaa tu ?Mkuu britanicca , naunga mkono hoja, ACT ndio chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Chadema ilikuwa ni zamani, sasa it's the past, kwa mambo yote ni ACT
PKiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
Wanabodi, Tangu kuasisiwa kwa ACT, leo ndio mara yangu ya kwanza, mimi Paskali kuzungumzia lolote kuhusu ACT, kwa sababu, mimi ni muumini wa "Umoja ni Nguvu, Utengano ni Udhaifu". Naamini ushirikiano wa dhati wa upinzani na muungano wa wapinzani kuwa kitu kimoja na kusimamisha mgombea mmoja...www.jamiiforums.com
Mnachombeza ili waingie ulingoni muone wanavyokamatwa, Chadema wasiposhiriki uchaguzi polisi hawaonekani na matamko yao hatuyasikii wala mazoezi yao hayafanyiki.Mkuu britanicca , naunga mkono hoja, ACT ndio chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania. Chadema ilikuwa ni zamani, sasa it's the past, kwa mambo yote ni ACT
PKiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
Wanabodi, Tangu kuasisiwa kwa ACT, leo ndio mara yangu ya kwanza, mimi Paskali kuzungumzia lolote kuhusu ACT, kwa sababu, mimi ni muumini wa "Umoja ni Nguvu, Utengano ni Udhaifu". Naamini ushirikiano wa dhati wa upinzani na muungano wa wapinzani kuwa kitu kimoja na kusimamisha mgombea mmoja...www.jamiiforums.com
Na hii ndio sababu akili ya mleta mada inajua chama kikuu Tanzania ni Chadema, sio chama kikuu cha upinzani.Chama kikuu cha upinzani katika eneo lipi?
Kama ni bungeni its impossible kulingana na namba ndogo ya wabunge wa ACT.
Kama ni mtaani chama cha upinzani kwa sasa ni CCM.
Chama tawala mtaani ni CDM.
Hao wabunge 19 wenyewe siku hizi wanajijua hawako upande huo ndio maana hata uwakilishi wao ni Kama kuku wenye mdondo ie halima au esta siku hizi hata kusimama kuchangia bungeni hawana ile hamasa waliokuwa nayo wakiwa wanatambulika ni wabunge wa chama flani kiujumla suala la kufukuza mwanachama ni suala la chama husika sio la serikali Sasa serikali na bunge wanawang'ang'ania hao wabunge ili ionekane Kuna uwakilishi wa wabunge wa chadema bungeni bila kujali maslahi ya umma ila ni kwa maslahi ya CCM.Wana uwezo mkubwa sana wa prnpaganda; angalia wanavofanya siasa issue ya wabunge wa viti maalim wakati wenyewe hawajakamisha mchakato wa kuwafukuza.
Issue ya katiba utafkiri wako serious kumbe wanajua hawawez kupata katiba wakati ukawa wana 10% ya wabunge wa kuisemea, kuipigia kura na kuandika katiba, ccm wana 90% unawashawishi vip?
Issue ya chaguzi kisingizio ni tume huru wanashindwa vby badala ya kujitathmini wanakuja na simple reason, tume ya mahera, wakurupenz na policcm. Toka awamu ya tano wamekuwa wanakwepa chaguz za marudio mpaka ule wa tamisemi 2019. Ni mabingwa propbganda. Ndio maana tunafikiri eti ni chama kikuu
Mkuu kuna vigezo vingi ambavyo wapaswa uvitue,kikubwa ni uwiano wa kura za Uraisi, kuna vidogo kama wanachama, matawi yao, na hata madiwani. Kule tunakokaa ACT ni nadra kuona hata bendera yake. Nashanga hata Paschal Mayalla hajui.Kuna Muda nasahau kabisa nikidhani CHADEMA ndo chama kikuu cha Upinzani ndo mpaka nikumbushwe kwamba ni ACT,
Labda Chadema wakiwakubali wale 19 ndo itakuwa Chama kikuu cha Upinzani!
Isiwe Tabu sana tupiganie kushika madaraka kabisa
Britannica
Kwani Chama kikuu cha Upinzani Kina pimwaje mpaka kiitwe hivyo?Kuna Muda nasahau kabisa nikidhani CHADEMA ndo chama kikuu cha Upinzani ndo mpaka nikumbushwe kwamba ni ACT,
Labda Chadema wakiwakubali wale 19 ndo itakuwa Chama kikuu cha Upinzani!
Isiwe Tabu sana tupiganie kushika madaraka kabisa
Britanicca
Mtaa gani huo? Ufipa?Chama kikuu cha upinzani katika eneo lipi?
Kama ni bungeni its impossible kulingana na namba ndogo ya wabunge wa ACT.
Kama ni mtaani chama cha upinzani kwa sasa ni CCM.
Chama tawala mtaani ni CDM.
PASCHAL, come to your sense na uwe mkweli mbele ya nafsi yako na Mungu wako, Kama bado una Imani kwa Mungu.mazoea yana taabu.
P
Hahahhh Mkuu Britanica umenikumbusha jambo msingi sana... Ujue tunajisahaulisha kusudi hili jamboKuna Muda nasahau kabisa nikidhani CHADEMA ndo chama kikuu cha Upinzani ndo mpaka nikumbushwe kwamba ni ACT Wazalendo.
Labda CHADEMA wakiwakubali wale 19 ndo itakuwa Chama kikuu cha Upinzani.
Isiwe Tabu sana tupiganie kushika madaraka kabisa.
Britanicca
Chama chenye wabunge wengi wa upinzani ndio chama kikuu cha upinzan. Na ikatokea ikatokea ccm wameshinda urais halafu labda ACT ikawa na wabunge wengi 50% + na hakuna serikali mseto au za umoja wa kitaifa hapo act watatoa waziri mkuu na kuunda serikali (baraza la mawaziri) na rais atapunguziwa madaraka na kubaki kuwa ceremonial.Kwani Chama kikuu cha Upinzani Kina pimwaje mpaka kiitwe hivyo?
KWA HIYO BWANA MAYALA BADO UNAISHI KUFUATA MAZOEA????. USHAZOEA KWENDEA VIII EITI SASA WAMECHUKUA WENYEWE UNAENDAJE SASA ( MFANO TU HUO) ISHI KULINGANA NA HALI ILIYOPO KWA SASA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.mazoea yana taabu.
P
Chadema inawatesa sanaWana uwezo mkubwa sana wa prnpaganda; angalia wanavofanya siasa issue ya wabunge wa viti maalim wakati wenyewe hawajakamisha mchakato wa kuwafukuza.
Issue ya katiba utafkiri wako serious kumbe wanajua hawawez kupata katiba wakati ukawa wana 10% ya wabunge wa kuisemea, kuipigia kura na kuandika katiba, ccm wana 90% unawashawishi vip?
Issue ya chaguzi kisingizio ni tume huru wanashindwa vby badala ya kujitathmini wanakuja na simple reason, tume ya mahera, wakurupenz na policcm. Toka awamu ya tano wamekuwa wanakwepa chaguz za marudio mpaka ule wa tamisemi 2019. Ni mabingwa propbganda. Ndio maana tunafikiri eti ni chama kikuu
Huyu bwana baada ya kubanwa pumbu na mwendazake alianza kujipendekeza akaanzisha project ya kuishambulia cdm. imefeli vibayaWe jamaa una roho ngumu sana ! kura za maoni uliambulia sifuri yenye masikio , hivi bado hukati tamaa tu ?
Suala la kufukuza mwanachama ni suala la chama husika sio la serikali Sasa serikali na bunge wanawang'ang'ania hao wabunge ili ionekane Kuna uwakilishi wa wabunge wa chadema bungeni bila kujali maslahi ya umma ila ni kwa maslahi ya CCM.
Katiba za vyama zinaridhiwa na Msajili kwanza yaani Serikali. Aidha haki za wanachama zinalindwa pia na Katiba na Sheria za Nchi na SIO suala Chama pekee. Kumbuka Hamad Rashid alifukuzwa CUF lakin Mahakama ilimlinda na akabaki Mbunge, hata Zito Kabwe wa Chadema alibaki na ubunge ingawa chama chake WALITAKA KUMFUKUZA.
Leo hii mnatudanganya eti mmewafukuza wakati Rufaa yao haijasikizwa. Mimi binafsi niliwahi kufukuzwa kazi nikapewa nafasi ya kukata Rufaa Hukumu ya kufukuzwa ilisimama mpaka baada ya kusikilizwa kwa Rufaa.
Niliposhindwa Rufaa nilifukuzwa kazi, nikaenda Mahakamni nikashinda.
Hata hao covid19.., kwanza Rufaa yao haijasikilizwa je wakishinda Rufaa au wakaenda Mahakamani kama Zito au Hamad Rashid itakuwaje
Kiuhalisia ACT ni chama kikuu cha upinzani Zanzibar. Kule bara hakuna upinzani kwa mizania ile kuna mbwembwe tu,huwezi.sema.bara upinzani una kajimbo kamoja ndio useme wanacount. Let's be realistic.Mkuu britanicca , naunga mkono hoja, ACT ndio chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kwa sasa. Chadema ilikuwa ni zamani, sasa it's the past, imebaki historia tuu, and soon inakwenda 6ft under, tunaisahau!. Kwa sasa mambo yote ni ACT Wazalendo.
PKiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
Wanabodi, Tangu kuasisiwa kwa ACT, leo ndio mara yangu ya kwanza, mimi Paskali kuzungumzia lolote kuhusu ACT, kwa sababu, mimi ni muumini wa "Umoja ni Nguvu, Utengano ni Udhaifu". Naamini ushirikiano wa dhati wa upinzani na muungano wa wapinzani kuwa kitu kimoja na kusimamisha mgombea mmoja...www.jamiiforums.com