Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,441
- 215,215
Malipo ya elfu 7 yamekung'oa ubongo ! mkidhulumiwa mnakuja kulialia hapa hapa jf ! umasikini ni fedheha sana !Kuna Muda nasahau kabisa nikidhani CHADEMA ndo chama kikuu cha Upinzani ndo mpaka nikumbushwe kwamba ni ACT,
Labda Chadema wakiwakubali wale 19 ndo itakuwa Chama kikuu cha Upinzani!
Isiwe Tabu sana tupiganie kushika madaraka kabisa
Britanicca