Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
7,284
Reaction score
11,780
1/ Dunia ya leo, upendo wa kweli ni nadra. Watu wengi wanaishi maisha ya ku-pretend tu. Ukiwa na mtu, akagundua hawezi kupata kitu, huondoka. Hii ndio ukweli wa mahusiano.

2/ Wengi wanafanya ndoa kwa sababu ya pressure ya jamii au familia. Lakini ndani, maisha yao ni siri na maumivu. Wake na waume wanacheza show ya furaha mbele ya jirani na familia. Ndoa ni show, furaha halisi haipo.

3/ Matukio ya ukatili wa kihisia yameongezeka. Baadhi wanandoa wanaingia kwenye mahusiano ya siri au kushirikiana kihisia na wengine kwa sababu ya mzigo wa kifamilia.

4/ Wakati mwingine ndoa inakuwa biashara: nyumba, gari, pesa, biashara. Upendo wa zamani unapotea kwenye hesabu za kifedha. Furaha halisi haipo, ndoa inakuwa deal, sio hisia.

5/ Kuna waliopo kwenye ndoa wakimpa heshima zaidi baba wa kiroho kuliko mume au mke. Upendo unakosa nafasi. Mume au mke anahisi upweke, furaha halisi inapotea.

6/ Kwa hivyo, mtu akiniuliza “ntaoa lini?” ni sawa na kuuliza “ntapoteza furaha yangu lini?” Furaha ya kweli haipatikani kwa pretending, pressure ya jamii au heshima ya mtu mwingine. Inahitaji uaminifu, mazungumzo ya kweli, na upendo halisi.
 
Kwa hivyo, mtu akiniuliza “ntaoa lini?” ni sawa na kuuliza “ntapoteza furaha yangu lini?” Furaha ya kweli haipatikani kwa pretending, pressure ya jamii au heshima ya mtu mwingine. Inahitaji uaminifu, mazungumzo ya kweli, na upendo halisi.
 
1/ Dunia ya leo, upendo wa kweli ni nadra. Watu wengi wanaishi maisha ya ku-pretend tu. Ukiwa na mtu, akagundua hawezi kupata kitu, huondoka. Hii ndio ukweli wa mahusiano.

2/ Wengi wanafanya ndoa kwa sababu ya pressure ya jamii au familia. Lakini ndani, maisha yao ni siri na maumivu. Wake na waume wanacheza show ya furaha mbele ya jirani na familia. Ndoa ni show, furaha halisi haipo.

3/ Matukio ya ukatili wa kihisia yameongezeka. Baadhi wanandoa wanaingia kwenye mahusiano ya siri au kushirikiana kihisia na wengine kwa sababu ya mzigo wa kifamilia.

4/ Wakati mwingine ndoa inakuwa biashara: nyumba, gari, pesa, biashara. Upendo wa zamani unapotea kwenye hesabu za kifedha. Furaha halisi haipo, ndoa inakuwa deal, sio hisia.

5/ Kuna waliopo kwenye ndoa wakimpa heshima zaidi baba wa kiroho kuliko mume au mke. Upendo unakosa nafasi. Mume au mke anahisi upweke, furaha halisi inapotea.

6/ Kwa hivyo, mtu akiniuliza “ntaoa lini?” ni sawa na kuuliza “ntapoteza furaha yangu lini?” Furaha ya kweli haipatikani kwa pretending, pressure ya jamii au heshima ya mtu mwingine. Inahitaji uaminifu, mazungumzo ya kweli, na upendo halisi.
Maswali ya umeoa, unaoa lini, unafanya kazi gani, yakija ghaflaghafla tu bila muktadha mzuri na kuanza kuomba ruhusa, yanaonesha uwezo mdogo wa mtu kuheshimu faragha ya mwingine.
 
Maswali ya umeoa, unaoa lini, unafanya kazi gani, yakija ghaflaghafla tu bila muktadha mzuri na kuanza kuomba ruhusa, yanaonesha uwezo mdogo wa mtu kuheshimu faragha ya mwingine.
Ongezea hapo na wale wapenda kutoa ushauri kwa watu from nowhere yani na hata hajaombwa ushauri.
 
1/ Dunia ya leo, upendo wa kweli ni nadra. Watu wengi wanaishi maisha ya ku-pretend tu. Ukiwa na mtu, akagundua hawezi kupata kitu, huondoka. Hii ndio ukweli wa mahusiano.

2/ Wengi wanafanya ndoa kwa sababu ya pressure ya jamii au familia. Lakini ndani, maisha yao ni siri na maumivu. Wake na waume wanacheza show ya furaha mbele ya jirani na familia. Ndoa ni show, furaha halisi haipo.

3/ Matukio ya ukatili wa kihisia yameongezeka. Baadhi wanandoa wanaingia kwenye mahusiano ya siri au kushirikiana kihisia na wengine kwa sababu ya mzigo wa kifamilia.

4/ Wakati mwingine ndoa inakuwa biashara: nyumba, gari, pesa, biashara. Upendo wa zamani unapotea kwenye hesabu za kifedha. Furaha halisi haipo, ndoa inakuwa deal, sio hisia.

5/ Kuna waliopo kwenye ndoa wakimpa heshima zaidi baba wa kiroho kuliko mume au mke. Upendo unakosa nafasi. Mume au mke anahisi upweke, furaha halisi inapotea.

6/ Kwa hivyo, mtu akiniuliza “ntaoa lini?” ni sawa na kuuliza “ntapoteza furaha yangu lini?” Furaha ya kweli haipatikani kwa pretending, pressure ya jamii au heshima ya mtu mwingine. Inahitaji uaminifu, mazungumzo ya kweli, na upendo halisi.
Japo wewe sio ndugu yangu wala hatufahamiani ila kiroho safi Sikushauri kabisa kuoa(kama unapenda kuishi kwa amani bila presha)
Kama ni kuzaa piga mimba mademu hata wawili wakizaa hudumia mpaka watoto wakue uwasomeshe basi.
Ila suala la kuoa au kuishi na mke Sikushauri kabisa(japo mimi nina mke)
 
1/ Dunia ya leo, upendo wa kweli ni nadra. Watu wengi wanaishi maisha ya ku-pretend tu. Ukiwa na mtu, akagundua hawezi kupata kitu, huondoka. Hii ndio ukweli wa mahusiano.

2/ Wengi wanafanya ndoa kwa sababu ya pressure ya jamii au familia. Lakini ndani, maisha yao ni siri na maumivu. Wake na waume wanacheza show ya furaha mbele ya jirani na familia. Ndoa ni show, furaha halisi haipo.

3/ Matukio ya ukatili wa kihisia yameongezeka. Baadhi wanandoa wanaingia kwenye mahusiano ya siri au kushirikiana kihisia na wengine kwa sababu ya mzigo wa kifamilia.

4/ Wakati mwingine ndoa inakuwa biashara: nyumba, gari, pesa, biashara. Upendo wa zamani unapotea kwenye hesabu za kifedha. Furaha halisi haipo, ndoa inakuwa deal, sio hisia.

5/ Kuna waliopo kwenye ndoa wakimpa heshima zaidi baba wa kiroho kuliko mume au mke. Upendo unakosa nafasi. Mume au mke anahisi upweke, furaha halisi inapotea.

6/ Kwa hivyo, mtu akiniuliza “ntaoa lini?” ni sawa na kuuliza “ntapoteza furaha yangu lini?” Furaha ya kweli haipatikani kwa pretending, pressure ya jamii au heshima ya mtu mwingine. Inahitaji uaminifu, mazungumzo ya kweli, na upendo halisi.
Wanawake skuizi wameingiliwa na shetwani, ndo wanaongoza Kwa kuvunja ndoa zao wenyewe, Yani hawajielewi Wala hawajitambui.
 
Daaah nimeona ndoa ya Phares Magesa na Haika Lawere (owner Mbezi Garden Hotel Limited) imevunjwa na mahakama tangu 2022 nimeumia sana
 
Daaah nimeona ndoa ya Phares Magesa na Haika Lawere (owner Mbezi Garden Hotel Limited) imevunjwa na mahakama tangu 2022 nimeumia sana
That is life bro, bora wameamua kutumia busara kuliko ungeskia mmoja kamtenganisha mwenzake kichwa na kiwiliwili
 
Wanawake skuizi wameingiliwa na shetwani, ndo wanaongoza Kwa kuvunja ndoa zao wenyewe, Yani hawajielewi Wala hawajitambui.
Mambo kwa ground ni hot sana, siku hizi watu hawanywi chai
 
Japo wewe sio ndugu yangu wala hatufahamiani ila kiroho safi Sikushauri kabisa kuoa(kama unapenda kuishi kwa amani bila presha)
Kama ni kuzaa piga mimba mademu hata wawili wakizaa hudumia mpaka watoto wakue uwasomeshe basi.
Ila suala la kuoa au kuishi na mke Sikushauri kabisa(japo mimi nina mke)
Ndo ni mtego
 
Back
Top Bottom