FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,391
- 41,308
Voda fastaWapo pia askari Voda 😂😂
Voda fastaWapo pia askari Voda 😂😂
Sijui wahuni walifikiria nini kuwatungia hilo jina. Lilikuwepo hilo jina na waliitwa hivyo hata kabla sijaja ulaya 2008 .Kumbe kuna Askari Tigo!
Duh 🤣🤣😁😂Wapo pia askari Voda 😂😂
Wenyewe wanamkamata boda yoyote ndio wanaanza kumkagua...hata trafiki anapokusimamisha Sio mpka ameona kosa yeye anakusimamisha na kukukaguwaWalikukamata kwa kosa gani?,Au walifika tu nakuanza kudai pesa?
maskini mwaminifu mwenye nia ya kutoa rushwa,Nimetoka kukamatwa na askari tigo wale wanaopakizanaga kwenye pikipiki...kwanza picha linaanza Mimi mwenyewe nimeishiwa mafuta ndio nimetoka kumshusha abiria wangu achukue usafiri mwingine ..wakati napiga hesabu ninaeendaje Petro station Sina hili Wala lile Mara jamaa hao...walivofika sikuwa na Chochote zaidi ya kusema tu Sina hela yoyote ila pikipiki hii hapa Kama mnanipeleka polisi sawa...wakasema sawa hakuna shida ngoja tukupige mguu Hadi kituoni...nikawaambia sawa
Wakaanza kuniambia ko huna hela yoyote Ile ..mi nikawajibu Sina Nina 3500 tu ndio hio ya mafuta na ndio nilitaka nisukume pikipiki hadi sheli,...bhasi wakaachana na mimi wakaenda zao...kiukweli wamenishika Sina hela yoyote Ile wamekosa namna..
Anakaa kwa shemeji keshashiba kiporo cha pilau anashushia na pepsi mkononi ana remote anaangalia filamu zetu azam TVHuyu jamaa hajui Kuna watu wanaamka asubuhi hata mia hawana na wanaishi wakiamini badae watapata