Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

Haaaaahh haaaahh..! Ila huku kuanikana sio poa kabisa "LADIES" si wajua haya mapenzi ni kikohozi sasa mnataka tukabanjie wapi.!?
 
Du, hiyo ni psychological hazard siyo stress. Yaani thread tu unahisi upo naye? Maybe, lakini mimi bado siamini
 
kwa kweli nishakua fungu la kukosa
Tatizo wewe nikikwambia kabichwa kanakuwa kakubwa na nyumbani sitokuona wiki, sasa hivi ni siri yangu nitakuwa sikwambii.
 
Tatizo wewe nikikwambia kabichwa kanakuwa kakubwa na nyumbani sitokuona wiki, sasa hivi ni siri yangu nitakuwa sikwambii.
tuliapa hata kifo hakitatutenganisha unakumbuka?
 
Husna wangu ,nakumbuka ulivyokuaga huelewi chochote wakati tunafahamiana mwisho wa mwaka 2011 naona unekuwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom