Kuna mtu kapigiwa simu ya Internship kutoka MDH

Kuna mtu kapigiwa simu ya Internship kutoka MDH

Charlie_Data_Analyst_GIS

Senior Member
Joined
Jul 15, 2013
Posts
122
Reaction score
50
Habari wanajamvi.

Kwa wale mliofanya interview za internship data entry MDH kuna yeyote ambaye amepigiwa simu ya kuitwa kazini, anae jua tunaomba atufahamishe.
 
MDH hawa wana majina yao wanatangaza tuu kwa ajili ya kuonyesha wafadhili kuna fair and equal chance...
 
Umri unakwenda kazi hakuna......cha muhimu ni watu kushika mabirika ya kahawa pamoja na kashata na kuanza kutembeza,walaji wapo wengi tu.
 
Maisha ya kibongo yanatia hasira sana mtu unasoma kwa bidii zote na unamaliza chuo na 1st class safi, balaa ukifika kitaa ajira hakuna.

Ukiomba ushauri wana wanakwambia ujiajiri wakati wao wameajiriwa.

SAD
 
Mashirika ya dizaini ya MDH kaz nyingi ni za kujuana kama hauna mtu wa kukushika mkono. Endelea na maisha yako usisubiri simu yao utapoza muda wako
 
Back
Top Bottom