Kuna mtu kapigiwa simu ya Internship kutoka MDH

Kuna mtu kapigiwa simu ya Internship kutoka MDH

Si kweli

Nilituma maombi kipindi fulani nikaitwa kwenye usaili

Hatimaye nikaitwa kazini na sikuwa namjua yoyote na ndio mara ya kwanza kuwajua kipindi hicho ILA nikavunja mkataba baada ya miezi 2

Hivyo,usiwe mwongo kama hukupata kuna mengi ndani yake binafsi nawakubali/nawaamini
MDH hawa wana majina yao wanatangaza tuu kwa ajili ya kuonyesha wafadhili kuna fair and equal chance...
 
Si kweli

Nilituma maombi kipindi fulani nikaitwa kwenye usaili

Hatimaye nikaitwa kazini na sikuwa namjua yoyote na ndio mara ya kwanza kuwajua kipindi hicho ILA nikavunja mkataba baada ya miezi 2

Hivyo,usiwe mwongo kama hukupata kuna mengi ndani yake binafsi nawakubali/nawaamini

Sahihi kabisa tatizo tunaendekeza kujuana sana ilihali si kweli wewe tuma ukikosa shukuru ukipata pia shukuru
 
Wale jamaa huwa watu wanawadharau. Ila wanapga hela sawa au zaidi ya dereva wa lori la mchanga au daladala. Kulaza hamsini kwa masaa 6 c mbaya kwao.
Wasomi kinachotutia umasikini ni dharau aibu na kutothubutu, kuchukulia poa
Umri unakwenda kazi hakuna......cha muhimu ni watu kushika mabirika ya kahawa pamoja na kashata na kuanza kutembeza,walaji wapo wengi tu.
 
Si kweli

Nilituma maombi kipindi fulani nikaitwa kwenye usaili

Hatimaye nikaitwa kazini na sikuwa namjua yoyote na ndio mara ya kwanza kuwajua kipindi hicho ILA nikavunja mkataba baada ya miezi 2

Hivyo,usiwe mwongo kama hukupata kuna mengi ndani yake binafsi nawakubali/nawaamini
Hivi hii inakuaje MDH Maana kuna dogo yupo TEMEKE HOSPITAL Data recording ila ni MDH hapa ikoje hawa jamaa.
 
Hivi hii inakuaje MDH Maana kuna dogo yupo TEMEKE HOSPITAL Data recording ila ni MDH hapa ikoje hawa jamaa.
kwa Upande wa data record huwa halmashauri inarecruit na mlipaji anakuwa MDH, mikataba ni miezi 12 lkn ni mkataba wa kuuisha, mshahara ni ngazi za halmashauli. // ni kwa mujibu wa mwaka 2016 nilipata fursa kumuuliza rafiki yangu, sijui kwa sasa.
 
Maisha ya kibongo yanatia hasira sana mtu unasoma kwa bidii zote na unamaliza chuo na 1st class safi, balaa ukifika kitaa ajira hakuna.

Ukiomba ushauri wana wanakwambia ujiajiri wakati wao wameajiriwa.

SAD
"Ukitaka kuishi maisha ya furaha na amani siku zote, daima wekeza maisha yako kwenye kazi, usiwekeze maisha na uhai wako kwenye ajira"
 
Wanajamvi wale walioomba MDH inaulizwa huku kuna walioitwa kwene interview
 
Maisha ya kibongo yanatia hasira sana mtu unasoma kwa bidii zote na unamaliza chuo na 1st class safi, balaa ukifika kitaa ajira hakuna.

Ukiomba ushauri wana wanakwambia ujiajiri wakati wao wameajiriwa.

SAD

Ulisomea kozi au fani gani mpaka ukapata hiyo first class yako unayoiona kuwa haina faida????
Elimu ya sasa siyo ya kusoma soma tu bila malengo kama vile unasoma gazeti la Udaku LA Erick Shigongo, ni lazima uwe NA malengo/mission, vision ya mbali kuhusu future yako, unless otherwise utakuja kujuta KWA nini umepoteza muda wako mwingi NA rasilimali zako mbalimbali KWA kusomea kozi isiyokuwa NA soko.

Someni kozi za Sayansi ambazo zina soko ktk dunia ya leo
 
hawa jamaa hawafai vigezo nnavyo lakn hawajaniita
Inawezekana wametangaza ilimradi tu. Huenda Wana mtu tayari kwenye position. Huwa ndo inavyokuwa, wanaweka tangazo ili kufuata utaratibu na sheria ila ukweli ndo huo
 
Maisha ya kibongo yanatia hasira sana mtu unasoma kwa bidii zote na unamaliza chuo na 1st class safi, balaa ukifika kitaa ajira hakuna.

Ukiomba ushauri wana wanakwambia ujiajiri wakati wao wameajiriwa.

SAD
Kazi kweli kweli. Welcome to the real world
 
Back
Top Bottom