udom ina evening classes? Then utafanyaje ili uweze kusoma evening classes ikiwa si mfanyakazi?
hiyo ndio raha ya kuvuta bange huku ukiwa unakata gogo
inawezekana kabisaa, hapo ni yeye mwenyewe kuweza kugawa muda wake, na kichwa chake kama kina sumaku nzuri hakuna tabu kabisa!
kwani ni lazima uwe mfanyakazi ndio usime evening? mbona TIA wanasoma na hawafanyi kazi? hapo inatakiwa coz moja iwe full tym, nyinge evening na kama anajiamini hamna oprtion ya evening, agawe kwenda degree 3 times, dip 2 times na kama anakichwa kizuri he/she cana make it
kwakweli cjajua ila si lazima kiwe na evening classes, my point wasi kama anajiamini anaweza soma coz zote kwa pamoja inspite of mudakila chuo lazima kiwe na evening classes?. . . .kwa kozi kama information system udom,ina evening class?
kuna jamaa alisoma degree 2 kwa wakati mmoja na matokeo yake yupo mtaani huu sasa ni mwaka wa 4 anasugua bench c'se yupo shallow pande zote kila interview anashindwa
habari wana jf. . . .kuna mtu ameniomba ushauri katika jambo hili,sasa nashndwa kumshauri kwa sababu sijawah kumuona mtu akifanya. . .ni kwamba huyu mtu anataka kusoma degree na diploma kwa wakati mmoja,na mambo yenyewe ni tofauti ambapo degree ni ya information system(udom) na diploma ni ya geology and mineral exploration(chuo cha madini) tena ktk institution tofauti mkoani dodoma. . . . .
Naomba maoni yako tafadhali,asante.
Mshauri asome DIPLOMA IN GEOLOGY AND MINERAL EXPLORATION, na aachane na degree ya Information System.
2b1ask1