Wewe nae ni bure tu, bora angebaki yule na wewe ujinyonge maana ni hasara kwa taifa? Taifa linajijenga kimaadili, kitaaluma wewe Upo hapa kuleta siasa. CCM inaingiaje hapo? Kwa taarifa yako hata chadema, cuf na wengineo wenye mapenzi na hili taifa hawatakubali taaluma kuchezewa hususani hiyo nyeti ya ualimuUnajua ndugu hawa jamaa yaan waliona ccm kama ndio maisha yao sisi tukiwaambia ccm ni tatizo wao walitutukana sanaa na elimu yetu ya la saba hii daaa tulikomaa ila wapate akili hawa walimu wapevuke .kiakili
umejuaje kuandika bila mwl?Kumbe ni mwl. Hao jamaa ni majanga kweli kweli. Wanangojea allowance ya kwenda kusimamia uchaguzi 2020. Jamaa kuzikosa akaamua kutangulia hukumuni kwa alivyoiba kula zileee. CCM watawalea hao watoto yatima
UJUMBE WA MAREHEMU:
"Mwambieni Mh Rais Kwamba nimeamuwa kujinyonga Kwa Sababu Ya Vyeti Feki, kazi ndiyo sina tena, na watoto njaa na sina cha kuwalisha, bora nife tu!".
Ni sehemu ya ujumbe unaosemekana kaandika marehemu kabla ya kujinyonga.
Ndio ila mbona bashite ameachwa si huwa tunasema haki sawa? Acha umbulula wewe wameachwa papa wanakamatwa dagala ..Wewe nae ni bure tu, bora angebaki yule na wewe ujinyonge maana ni hasara kwa taifa? Taifa linajijenga kimaadili, kitaaluma wewe Upo hapa kuleta siasa. CCM inaingiaje hapo? Kwa taarifa yako hata chadema, cuf na wengineo wenye mapenzi na hili taifa hawatakubali taaluma kuchezewa hususani hiyo nyeti ya ualimu
Msijizoeshe kuongea maneno haya kwa wafu.... Unajilaani Mkuu. Muombe Mungu wako msamaha.Kwa hiyo alivyojiua Ndo watoto watashiba? Ukubwa bila busara ni bure.
Kumbe walimu nao wezi wa kura daaah ndiio maana wanatumika ka kondo mmmmm
Aaaaahhaaa khaaa ndio maaana mimwalimu mingi ni ccm wachache sana wanajitambua .Mkuu;
Wao wanapewa kula wanawaongezea kuraaa
umejuaje kuandika bila mwl?
Kwahiyo akijinyonga watoto ndio watapata chakula?UJUMBE WA MAREHEMU:
"Mwambieni Mh Rais Kwamba nimeamuwa kujinyonga Kwa Sababu Ya Vyeti Feki, kazi ndiyo sina tena, na watoto njaa na sina cha kuwalisha, bora nife tu!".
Ni sehemu ya ujumbe unaosemekana kaandika marehemu kabla ya kujinyonga.
Nayeye huko aliko elekea ajue alikuwa amefanya kazi ya kuwaibia watanzania miaka yote hiyo na ameminya haki za watanzania wengi.UJUMBE WA MAREHEMU:
"Mwambieni Mh Rais Kwamba nimeamuwa kujinyonga Kwa Sababu Ya Vyeti Feki, kazi ndiyo sina tena, na watoto njaa na sina cha kuwalisha, bora nife tu!".
Ni sehemu ya ujumbe unaosemekana kaandika marehemu kabla ya kujinyonga.
Umenikumbusha mbali Dada.kabla ya kuajiriwa nlipomaliza chuo nlipiga sana.Huyu jamaa kweli bashite yani hapa anaonesha kweli alikua anacheti feki na uwezo wa kufikiri umeishia hapa kashindwa hata kuendesha bodaboda