Mr Dumila
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 272
- 537
DUMILAHii imetokea wapi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUMILAHii imetokea wapi..
Kweli kabisa mkuu.Sasa Magufuli alimtuma akafanye forgery? So alipoghushi na kufanya kazi ambayo hana vigezo uwezo wake wa kubuni na kustruggle ukaishia hapo kana kwamba anakula jasho halali.
Anakalia nafasi asiyostahili kama vile anastahili mpaka anajisahau.Kuna mmoja aliyetumbukiwa namfahamu yeye tangu aanze kazi hajawahi hata Mara moja bila kukopa benki huku mdhamini wake ni serikali.Yeye alijitambua mapema kuwa yeye ni feki kwahiyo akiona mkopo unakaribia kuisha anakopa tu nakujenga majumbaHuyu alistahili kutumbuliwa, ndani ya ujumbe mfupi kakosea kuandika mara kadhaa. Vijana wanasotea ajira na hawajui pa kuzipata licha ya kuhitimu vizuri mtu mwingine anakalia nafasi asizostahili.
Vyama vyote wakose pakwenda?Tatizo hata wakiiacha ccm hawajui waende wapi.
Twamsubiri Daidu Albeti sasa nae afate nyao maana kwa hatua aliyofikia haina namnaSasa Magufuli alimtuma akafanye forgery? So alipoghushi na kufanya kazi ambayo hana vigezo uwezo wake wa kubuni na kustruggle ukaishia hapo kana kwamba anakula jasho halali.