Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hata wakiiacha ccm hawajui waende wapi.Unajua ndugu hawa jamaa yaan waliona ccm kama ndio maisha yao sisi tukiwaambia ccm ni tatizo wao walitutukana sanaa na elimu yetu ya la saba hii daaa tulikomaa ila wapate akili hawa walimu wapevuke .kiakili
Rest in peace?, not at all. Roho ya MTU aliyejiua haiwezi kupumzika. Kwanza roho yake itatangatanga makaburini mpaka Siku zake alizopangiwa kuishi zitakapotimia. Wanaoplani kujinyonga tafadhali msifanye hivyo, face the music(yakabili matatizo),So sad may his soul rest in peace
MUNGU AWASAIDIE TU BILA HIVYO NI HATARI WATAJIUAAAAAAAA JIUAAAA KAZI ITAKUWA KUJIUA WAKAT BASHITE ANAKULA UPEPO DSM TUUUUTatizo hata wakiiacha ccm hawajui waende wapi.
Mungu awasaidie nini?MUNGU AWASAIDIE TU BILA HIVYO NI HATARI WATAJIUAAAAAAAA JIUAAAA KAZI ITAKUWA KUJIUA WAKAT BASHITE ANAKULA UPEPO DSM TUUUU
Hana tofauti na wewe unaetumia fake IDSasa Magufuli alimtuma akafanye forgery? So alipoghushi na kufanya kazi ambayo hana vigezo uwezo wake wa kubuni na kustruggle ukaishia hapo kana kwamba anakula jasho halali.
Acha siasa mkuu, hapo hakuna chadema wala ccm. Mwalimu kajiondosha kwasababh amefoji vyeti na katumbuliwa kazi hakuna. Sasa ya ccm yamekujaje hapoUnajua ndugu hawa jamaa yaan waliona ccm kama ndio maisha yao sisi tukiwaambia ccm ni tatizo wao walitutukana sanaa na elimu yetu ya la saba hii daaa tulikomaa ila wapate akili hawa walimu wapevuke .kiakili
ni kweli hili tukio limetokea hapa DUMILA siku ya jumapiliUJUMBE WA MAREHEMU:
"Mwambieni Mh Rais Kwamba nimeamuwa kujinyonga Kwa Sababu Ya Vyeti Feki, kazi ndiyo sina tena, na watoto njaa na sina cha kuwalisha, bora nife tu!".
Ni sehemu ya ujumbe unaosemekana kaandika marehemu kabla ya kujinyonga.