Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 399
Habari watafutaji wenzangu,
Naomba niwaulize, hivi humu ndani kuna mtu alishawahi kutuma maombi Barrick na akaitwa? Maana naona wanatoa tu matangazo ya ajira ila naona siitwi.
Wewe unasema ulishawahi kuomba ajira Barrick na ukaitwa kwenye interview?
Karibuni
Naomba niwaulize, hivi humu ndani kuna mtu alishawahi kutuma maombi Barrick na akaitwa? Maana naona wanatoa tu matangazo ya ajira ila naona siitwi.
Wewe unasema ulishawahi kuomba ajira Barrick na ukaitwa kwenye interview?
Karibuni