Mgosi wa Sui
Member
- Aug 22, 2009
- 26
- 1
Mtafute Samenya anapatikana huko
Huyu jamaa simuelewi anachomaanisha, anatafuta msichana ili afikia kwake!!!!!!!!!!!!!!!.
Ukifika Moshi mchukue mtoto wa Kichaga,wanaijua sana Arusha na wanaujua sana utalii.
he hee sindio watamtembelea na kumtembeza vizuri huko mifukoniWanaujua utalii mpaka wa mifukoni
mi bado sijelewa kwa nini anataka tu single wa jf memba,analengo gani na masingle ladies wa jf.
1.Sina shaka utaibiwaNaelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.
anataka ku do ze nidiful apo hun..usimwambie kama upo AR umesikia eeh
1.Sina shaka utaibiwa
2.Arusha maisha yapo juu sana kuliko Dar,kufikia kwa msichana ni ndoto,labda ugeuze sera kuwa natafuta mchumba Arusha.
3.Pale wapo wa meru,wamasai,wamburu,wairaq,.............angalia waweza kumtelekeza mwenyeji wako.
USHAURI;
Sema hivi; Mimi nasafiri kwenda Arusha,mfukoni nipo fresh,nategemea kufikia hoteli ya kitalii ya...............simu yangu ni............sijawahi kufika arusha,sina mchumba wala mke..
Duuuuuuuuuuuh hapo mzee mwenzangu utawakimbia si wana JF au.....
1.Sina shaka utaibiwa
2.Arusha maisha yapo juu sana kuliko Dar,kufikia kwa msichana ni ndoto,labda ugeuze sera kuwa natafuta mchumba Arusha.
3.Pale wapo wa meru,wamasai,wamburu,wairaq,.............angalia waweza kumtelekeza mwenyeji wako.
USHAURI;
Sema hivi; Mimi nasafiri kwenda Arusha,mfukoni nipo fresh,nategemea kufikia hoteli ya kitalii ya...............simu yangu ni............sijawahi kufika arusha,sina mchumba wala mke..
Duuuuuuuuuuuh hapo mzee mwenzangu utawakimbia si wana JF au.....
bwana nyivo....karibu sana arachuga....mimi ninaishi ngalelo....be my guest...ila....aga kabisa huko kwenu kuwa unaweza ukarudi au usirudi....zingatia......usiseme sikukuonya
Heeeeeeeee shem na nyie mnaloweka nguo huko?
Duh afadhari ya Chuda maana hata ubani unaweza puliziwa unapo enda kukoga unabebwa mgongoni.
hayo yote ni makabila ya waishio arusha.wanaweza kabisa kumvutia...................au mkuu hayo ni makabila yako nini? Uwe na amanihapo kwenye blue sijaelewa bwana tall.....unaweza nielewesha kidogo
Great thinker hawezi kutuletea mtoto wa mitaani labda kama unazungumzia great sinker kwa kuwa vinafana kidogo katika matamshi na hasa ukitokea kiswahili!!Mshkaji baridi na kufikia kwa msichana single kutakuwa na usalama kweli? Angalia usije ukatuletea watoto wa street ndani ya JF.
Naelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.