Kuna msanii ataaga label yake muda simrefu

Aende tu anapotaka akafungue madrasa yake,mziki ndio umeshamshinda.
 
Najiuliza kuna nini huko?
Pia najiuliza yule msanii wa The Mafik aliyeuawa kunani uchunguzi wa kifo chake haukuendelea?
 
Kwanza mwanaume kutumia code ni udemu
Yan imagine kuna mwanamke anakuta bwana ake kaleta story ina mandhari za story za mange kimambi aisee, we are guys we talk about football, wrestling, war, How Jay stopped dealing and became successful in music lakin sio mambo ya kufungua kode, sio kwa ubaya ila what if he is a guy na ana mke na mke wake aje kujua ye ni mfunga code ili mashoti wazifungue aaah sio poa aisee…
 
🤣🤣🤣🤣
 
Learn to be wise nimewapa tu Code hayo mambo ya ushoga usinizoee kabisaa.
 
Duuh hizi label za siku hizi wasanii kazi wanayo, yani utasema mtu ameajiriwa kwenye majeshi, siyo kwa hizo restrictions
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…