naomba kumiti na wanajamvi waishio dodoma

naomba kumiti na wanajamvi waishio dodoma

Mankaa

Senior Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
156
Reaction score
49
Katika vitu nnavyopenda ni kuonana na waty mbali mbali na kubadilishana mawazo
nawaza kama kuna wadada/wamama wenzangu wababa/wakaka tunaweza kuweka umoja wa kufahamiana kwa wote waishio dodoma
ama nitakuwa nimekosea kwa wazo hili???
 
ok, poa je uwa unapatikana maeneo gani? nkuhungu, area A, D, C, chamwino, kisasa, au br ya ngapi? ni pm unapatikana wp. ila jioni pale double H sana tu, jumapili cathedral, ijumaa kwa gadafi au nungwi. karibu.
 
ok, poa je uwa unapatikana maeneo gani? nkuhungu, area A, D, C, chamwino, kisasa, au br ya ngapi? ni pm unapatikana wp. ila jioni pale double H sana tu, jumapili cathedral, ijumaa kwa gadafi au nungwi. karibu.

kisasa owk
 
tulikuwa na mwenyekiti wetu anaitwa Maskini Jeuri, sijui kafia wapi. hebu mtafute.
 
Last edited by a moderator:
okw poa tutawasiliana, uwa naendaga pale meriwa, na mpk huko nyumba 300 wng, husninyo we ulikuwa mweka hazina nini?
 
okw poa tutawasiliana, uwa naendaga pale meriwa, na mpk huko nyumba 300 wng, husninyo we ulikuwa mweka hazina nini?

Oooh kumbe kitaa kabisa
ntamtafuta husninyo anpe uweka hazna
 
Back
Top Bottom