habari za humu
naamini wote wazima kabisa
nimeamua nije humu mnishauri kwani nipo njia panda
nina mume ambaye nimeishi nae miaka 7tuna mtoto mmoja wa kiume nina
mume wangu amekuwa akinicheat mara nyingi na mara chache nimekuwa nikigundua usaliti wake.sishangai sana kwani familia yao wote ndivyo walivyo.
kiufupi tulianza maisha tukiwa hatuna kitu kabisa lkn kwa sasa tuna biashara gar zuri nyumba kifupi mume safar za nje ni nying yan tuseme levo yake yeye tuloanzia maisha na sasa yupo juu..
Nimemcumilia miaka yote hiyo lakn sasa nahisi hata uchumi utayumba kwa ajili ya wanawake alonao kila kona,hapa ninavyoandika nahisi kasafiri na mpangaji wetu kwan kuna siku nilikuta wamepakizana kwenye gar akadai kaomba lifti tu.
kifupi nimechoka kuvumilia nilichoamua ni kuifilisi biashara ninayosimamia kimya kimya nijaze pesa kwenye ac yangu ikitosha mtaji wa kwenda kuanza maisha nimwambia imetosha endelea na maisha yako.
haya ndiyo mawazo yangu
lakin nahitaji mawazo yenu piya kuhusu jambo hili
naamini wote wazima kabisa
nimeamua nije humu mnishauri kwani nipo njia panda
nina mume ambaye nimeishi nae miaka 7tuna mtoto mmoja wa kiume nina
mume wangu amekuwa akinicheat mara nyingi na mara chache nimekuwa nikigundua usaliti wake.sishangai sana kwani familia yao wote ndivyo walivyo.
kiufupi tulianza maisha tukiwa hatuna kitu kabisa lkn kwa sasa tuna biashara gar zuri nyumba kifupi mume safar za nje ni nying yan tuseme levo yake yeye tuloanzia maisha na sasa yupo juu..
Nimemcumilia miaka yote hiyo lakn sasa nahisi hata uchumi utayumba kwa ajili ya wanawake alonao kila kona,hapa ninavyoandika nahisi kasafiri na mpangaji wetu kwan kuna siku nilikuta wamepakizana kwenye gar akadai kaomba lifti tu.
kifupi nimechoka kuvumilia nilichoamua ni kuifilisi biashara ninayosimamia kimya kimya nijaze pesa kwenye ac yangu ikitosha mtaji wa kwenda kuanza maisha nimwambia imetosha endelea na maisha yako.
haya ndiyo mawazo yangu
lakin nahitaji mawazo yenu piya kuhusu jambo hili