gabriel Heinze
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 499
- 661
Usipime ndo suluhishoDaah ngoma.zitatuua
Usipime ndo suluhishoDaah ngoma.zitatuua
Habari zenu wakubwa?
ebana kuna mwanamke mmoja hapa mbeya ni mjane,kwa maelezo yake na maelezo ya watu wanaomjua alifiwa na mume wake miaka minne iliyopita,kifo cha mume wake inasemekana alikua na madeni mengi tu huko bank na alikua anaelekea kufirisika,jamaa akaamua kujiua kwa kunywa sumu,huyu mwanamke ana umri wa miaka 41 na mimi umri wangu ni miaka 36,so tumekutana tu katika harakati za maisha, yeye ana biashara zake ana duka la jumla na pia analima huko sumbawanga kilimo cha kibiashara.so toka tujuane mimi nilijua ni just one night stand but nashangaa kaniganda hadi naogopa wakuu.mimi sio kwamba nampa kitu cha maana hapana labda ni muda wangu tu ninaompa na kumgegeda,sasa kanishangaza eti leo ananiambia badala ya kuendelea kuishi hotelin ananiambia nihamie kwake.
Wakuu niko dilemma na huyu mwanamke,mbona kaniganda hivi?
Wakichoma nyumbaMpelekee moto.....
Atakuwa anachanganya lodge, guest house, Motel na Hotel.Una uhakika kwamba unaishi hotelini?Maana unachouliza ni kama unaishi Mafiati chini ya daraja.
Joto lake si mchezo,Mwili unakua na joto
Kwani ulipombakua mara ya kwanza ulitutaka ushauri hapa? 😉Habari zenu wakubwa?
ebana kuna mwanamke mmoja hapa mbeya ni mjane,kwa maelezo yake na maelezo ya watu wanaomjua alifiwa na mume wake miaka minne iliyopita,kifo cha mume wake inasemekana alikua na madeni mengi tu huko bank na alikua anaelekea kufirisika,jamaa akaamua kujiua kwa kunywa sumu,huyu mwanamke ana umri wa miaka 41 na mimi umri wangu ni miaka 36,so tumekutana tu katika harakati za maisha, yeye ana biashara zake ana duka la jumla na pia analima huko sumbawanga kilimo cha kibiashara.so toka tujuane mimi nilijua ni just one night stand but nashangaa kaniganda hadi naogopa wakuu.mimi sio kwamba nampa kitu cha maana hapana labda ni muda wangu tu ninaompa na kumgegeda,sasa kanishangaza eti leo ananiambia badala ya kuendelea kuishi hotelin ananiambia nihamie kwake.
Wakuu niko dilemma na huyu mwanamke,mbona kaniganda hivi?
Huyo ni chaguo lakoooHabari zenu wakubwa?
ebana kuna mwanamke mmoja hapa mbeya ni mjane,kwa maelezo yake na maelezo ya watu wanaomjua alifiwa na mume wake miaka minne iliyopita,kifo cha mume wake inasemekana alikua na madeni mengi tu huko bank na alikua anaelekea kufirisika,jamaa akaamua kujiua kwa kunywa sumu,huyu mwanamke ana umri wa miaka 41 na mimi umri wangu ni miaka 36,so tumekutana tu katika harakati za maisha, yeye ana biashara zake ana duka la jumla na pia analima huko sumbawanga kilimo cha kibiashara.
so toka tujuane mimi nilijua ni just one night stand but nashangaa kaniganda hadi naogopa wakuu.mimi sio kwamba nampa kitu cha maana hapana labda ni muda wangu tu ninaompa na kumgegeda,sasa kanishangaza eti leo ananiambia badala ya kuendelea kuishi hotelin ananiambia nihamie kwake.
Wakuu niko dilemma na huyu mwanamke,mbona kaniganda hivi?