Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,197
Mwili unakua na jotoHizi ukiwa unakunywa mara kwa mara zinachemsha mwili sana
Mwili unakua na jotoHizi ukiwa unakunywa mara kwa mara zinachemsha mwili sana
...and which is necessary during application for an employment.Mwili unakua na joto
Sawa,"analima huko Sumbawanga"kama unapenda kulima lima basi jipange...Habari zenu wakubwa?
ebana kuna mwanamke mmoja hapa mbeya ni mjane,kwa maelezo yake na maelezo ya watu wanaomjua alifiwa na mume wake miaka minne iliyopita,kifo cha mume wake inasemekana alikua na madeni mengi tu huko bank na alikua anaelekea kufirisika,jamaa akaamua kujiua kwa kunywa sumu,huyu mwanamke ana umri wa miaka 41 na mimi umri wangu ni miaka 36,so tumekutana tu katika harakati za maisha, yeye ana biashara zake ana duka la jumla na pia analima huko sumbawanga kilimo cha kibiashara.so toka tujuane mimi nilijua ni just one night stand but nashangaa kaniganda hadi naogopa wakuu.mimi sio kwamba nampa kitu cha maana hapana labda ni muda wangu tu ninaompa na kumgegeda,sasa kanishangaza eti leo ananiambia badala ya kuendelea kuishi hotelin ananiambia nihamie kwake.
Wakuu niko dilemma na huyu mwanamke,mbona kaniganda hivi?
Humtakii mema.Ataacha mashamba yake ya mihogo kule kwao Kigera -etuma.Fursa...nenda chap
Njoo mwailubi nikupe siri ya mishangazi ya mbeya inavyoweza kukupotezea dira ya maisha dogoNoted
Nipo nje hapa kwa fundi viatu ,nimevaa shati jeupe na suruali ya kitambaa cheusi .Umekaa sehemu gani hapo?
Umalila ?ukimuendekeza huyo,mwaka wako mmoja tu unalamba mchanga na yeye atafungua maduka manne makubwa kuzidi hayo alionayo sasa.
hiyo ndio michezo ya wamama wa ukinga na umalila.
Ili agundue nini ?Mmepima.kwanza
Hii sentensi mbona imekaa kichuro sana?Nenda ukamfanye mjane kwa mara nyingine tena.
Daah ngoma.zitatuuaIli agundue nini ?