Kuna mdada nimempa mimba alafu maisha yangu hayaeleweki. Nifanye nini?

Tuingie mkataba wa kulea hiyo mimba mkuu, kama una dhamana ambayo ni nyumba,kiwanja au gari.

Tunalea kuanzia mimba hadi mtoto akiwa na mwezi mmoja.

Karibu sana micao pregnant women's care (mpwc).
 
Kuzaa ni bure ww mpeleke clinic iliyo karibu nawe, pia anza kupasua mawe na kuokota makopo koo mtoto ataishi vizuri,
 
Tuingie mkataba wa kulea hiyo mimba mkuu, kama una dhamana ambayo ni nyumba,kiwanja au gari.

Tunalea kuanzia mimba hadi mtoto akiwa na mwezi mmoja.

Karibu sana micao pregnant women's care (mpwc).
Dah fulsa n nyingi sana hpa mjini hahaha
 
Kichwa cha chini kimekizidi akili kichwa cha juu ongera kijana kwa kukojolea ndani
 
USHATENDA KOSA LA DHAMBI YA UASHERATI HALAFU UNATAKA KUMTOA MIMBA BINTI WA WATU,DHAMBI NYINGINE HII

Kuna laana zingine tunajitafutia wenyewe
Hana dhambi, lea mimba. Asikudanganye mtu kuwa ulitenda dhambi, utakuwa unajihukumu for nothing.
 
Akili itakukaa sawa muda ndio huu
Pambana na majukumu yako, kama ulivyokua unapambania goli la ushindi
 
Nyakati muhimu katika maisha ni Kama hizo boy.Simple tu hatua ya kwanza kubali hiyo mimba.kama ushafanya hivyo kaa utulie utafakari cha kufanya,daima huwa Kuna njia.hata ukisema umshawishi atoe,haifanyi maisha yako yaeleweke.Usikate tamaa
 
Kama ulikula mua ukauona utamu wake ujue mua huohuo kuna sehemu unakua mchungu..sasa hiyo mimba ndiyo uchungu wenyewe..
Pambana
 
Wakuu kuna mdada Anadai ana mimba yangu mpaka sasa sijui nifanyeje maisha yangu yenyewe hayaeleweki sijui pakuanzia wala kumalizia

Na binti naye hana mpango wa kuchomoa ushauri ndugu zangu sijui ni nini cha kufanya msaada kwenu wa kuishauri ni hatua zipi sahihi za kuchukua kuanzia hivi sasa
Pole mkuu, ila ukimwagilizia maji mmea nina hakika unakuwa na lengo uote utoe matunza mkuu. Sox imekuponza
 
Back
Top Bottom