kwani kuwa na mtoto kunategemea maisha, kama ni hivyo basi omba omba wasingekuwa wanazaa sasa hakuna kitu cha thamani duniani kwa binadamu kama mtoto na mzazi mengine yote ni bwebwe tu, mtu hata afanikiwe vipi kama hana mtoto utajiri wake huwa anaona ni bure kabisa halafu wewe unataka uue...