Zegota
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 274
- 584
- Thread starter
- #21
Sasa ndugu yangu hapo si inabidi uoe kabisa, watoto wawili kwa mama mmojaMimi nilibeba Mwanangu akiwa na miaka miwili baada ya kuletewa mapicha picha.
Mpaka alipojirudi ndio nikamrudisha ila Cha ajabu dogo aligoma kubaki kwa mama yake.
Nikatimua nae baadae ka mama yake kaka jileta kwangu kenyewe sijui nimekuja kumuona mtoto.
Nikakapiga mimba nyingine ndio ngebe ziliisha.