Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,863
- 131,520
Weka ufafanuzi yakinifu tukuelewe.
Kuna link gani ya mimi kuweka namba ya siri kuangalia salio na kumpa mtu mwingine access ya kuijua namba ya siri?
Kuna uhusiano gani wa ule muhamala wake na nafasi ya yeye kuweza kuijua namba yangu ya siri iwapo tu nitaamua kuangalia salio?
Kwamba ule muhamala unakuwa ni trojan au BAT kuwa jaribio lako lolote la kuweka namba ya siri litakuwa recorded na kutumwa kwa huyo spy ambaye ana monitor hizo viruses?
Kwasababu navyojua mimi hata mtu ajue namba yangu ya siri hawezi kutoa hela iliyopo kwenye account yangu remotely bila kushika simu yangu au line yangu.
Mtu yupo Tanga mimi nipo Mbeya na hiyo line yangu, sawa huyo mtu wa Tanga anaijua namba yangu ya siri lakini line ninayo mimi....anatoaje pesa kwenye account yangu pasipo kuwa na sim card yangu?
Otherwise niwe nimetumia let say Tigo app kwenye simu yake bila ku log out, hiyo tu ndio njia pekee inayoweza kumuwezesha kutoa pesa kwenye account yangu.
Vinginevyo tuambie kivipi jambo hilo liwezekane?
Kuna link gani ya mimi kuweka namba ya siri kuangalia salio na kumpa mtu mwingine access ya kuijua namba ya siri?
Kuna uhusiano gani wa ule muhamala wake na nafasi ya yeye kuweza kuijua namba yangu ya siri iwapo tu nitaamua kuangalia salio?
Kwamba ule muhamala unakuwa ni trojan au BAT kuwa jaribio lako lolote la kuweka namba ya siri litakuwa recorded na kutumwa kwa huyo spy ambaye ana monitor hizo viruses?
Kwasababu navyojua mimi hata mtu ajue namba yangu ya siri hawezi kutoa hela iliyopo kwenye account yangu remotely bila kushika simu yangu au line yangu.
Mtu yupo Tanga mimi nipo Mbeya na hiyo line yangu, sawa huyo mtu wa Tanga anaijua namba yangu ya siri lakini line ninayo mimi....anatoaje pesa kwenye account yangu pasipo kuwa na sim card yangu?
Otherwise niwe nimetumia let say Tigo app kwenye simu yake bila ku log out, hiyo tu ndio njia pekee inayoweza kumuwezesha kutoa pesa kwenye account yangu.
Vinginevyo tuambie kivipi jambo hilo liwezekane?