Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

Miaka 43 ndio bibi!? 😳😳,
We umerogwa nini, pisi kabisa na hapo ndipo kwenye peak ya utamu na burudani,
Kama umemshindwa, tuachie siSI
tule mpaka mfupa, sisi ndio mafiSI.

43 kwa 37, nyie ni rika 1.. mkatae kwa mengine ila sio umri wala ubibi, labda kama huyo mdada anajiweka kizee zee hapo sawa.

Na kikao kijacho cha wanaume inabidi uandike barua ya maelezo isiopungua page 3, kwanini umuite mdada wa miaka 43 ni mbibi, uambatanishe na picha zake 3 tofauti kwa utetezi wako

NAIBU KATIBU
JUMUIYA YA VIDUME.
Habari yako fisi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom