Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
Ukishakojoa akili zitarudi vizuri ndio hapo utakapoamua mwenyewe uendelee au uamshe majeshi ila zingatia ukimtia mimba huyo bibi kizee ndio akili zitachaji vizuri ile taa nyekundu itawaka vizuri sasa hivi imefifia inawaka Orange ila ukitia kitu ndani ukakojoa mpaka misuli ya kichwa inakutoka ndio akili itakuamka kwamba hapa ndio penyewe au nimekurupuka,

Issue ipo hivi km unataka awe wa kumkojolea tu yaan friends with benefits 37 na 43 sio mbali sana yaan hata mkitembea pamoja hakuna atakaeona tifauti ila km unataka kujenga future yaan kupata wa kuzikana nae future wife material tafuta uliemzidi miaka 17 yaan hio 37 toa miaka 17 utapata anaekufaa ni mwenye miaka 20 ambae sasa hivi km amechangamka basi yupo chuo fulani wajuba wanajibamizia wanavyotaka

Huyo 43 kashatembea kilometers nyingi sana ingawa ni km rubber band ila amekula chumvi nyingi kidizaini, zingatia km unataka kupunguza uzito tu mwambie hivyo kwamba najiweka ila tu ni kwa ajili ya kupunguza uzito maisha mengine yataendelea kinyume na hapo washa taa nyekundu maana ni mke wa mtu huyo na unajua kinachowakuta wanaokula wake za watu utapakwa Blueband
 
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
ninyi nyote ni vijana mliokomaa vizuri sana,
hakuna kigeni wala cha kutisha miongoni mwenu,
kwa heshima ni vizuri kuskilizana, kukubalia na hatimae kusaidiana ikiwa inafaa kwa wakati muafaka.

ni fedheha kupotezeana muda na kupigana kalenda au danandana kwa umri huo.
elezaneni ukweli ikiwa ina wezekana au haiwezekani na mambo yaishe mara moja gentleman
 
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
Una mke au uko single?

Kama una mke usimsaliti
 
Back
Top Bottom