Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

wisenameM

Member
Joined
Jun 9, 2014
Posts
13
Reaction score
1
Habari wana Jf.

Mimi ni msichana umri kati ya Miaka 23hadi25 nilibahatika kupata kijana ambaye tulipendana tukawa kwenye mahusiano takribani Miaka miwili hatimaye Mwaka jana December tulifunga Pingu za maisha sasa tunaishi kama Mume na Mke.

Lakini imani yangu imepotea kwake sababu nilipgiwa simu na mwanamke mmoja akiwa analia ananambia kuwa nini nmemfanyia ivo kumbe mume wangu amezaa na huyo binti mtoto ana Miezi mitatu.

Sasa nilipoeka simu loud ili mume wangu asikie alikiri kua ni kweli alitokaga nje eti mara moja ila hana uhakika kama ni mwanae,nishaurini jamani ni kweli itakua sababu mwanae?kwani imani imepotea juu ya mume wangu ukizingatia ndio kwanza tunamwezi tangu tufunge Ndoa.
 
Ndo wanaume wa siku hizi hao,Mtoto atakuwa wake kweli anakuzuga tu,maadamu ashakubali kuwa alishakucheat na huyo bidada ujue kuna uwezekano asilimia 90% Mtoto ni wake.Cha msingi vumilia tu mana bado mapema.
 
suala la mwana jf kujua mtoto ni wa mumeo au la ni gumu, cha msingi ni wewe na huyo mumeo kukaa mkaelewana juu ya huyo mtoto kama ni wake mjue mnaishije maana tayari mshaingia kwenye ndoa kaeni muelewane bila ivo utavunja ndoa kila kukicha hakuna mkamilifu
 
habar wana jf,..mimi ni mcchana umr kat ya miaka 23-25nlbahatka kupata kijana ambaye 2lpendana 2kawa kwny mahusiano takrban miaka miwl hatmaye mwaka jana dec 2lfunga pingu za maisha xx 2naish kam mume na mke,lkn iman yang imepotea kwake coz nlipgiwa cm na mwanamke m1 akiwa analia ananambia kw nn nmemfanyia ivo kumbe mumewang amezaa na huyo bint mtt ana miez 3 xx nlipoeka loud il mume wang ackie alikir kua ni kwl altokaga nje et mara 1 ila hana uhakika kam ni mwanae,..nishaurin jaman ni kwl itakua co mwanae?coz iman imepotea juu ya mume wang ukizngatia ndo kwnz 2namwez tang 2funge ndoa..

Ndoa yako ina mwezi mmoja na mtoto ana miezi mitatu ila mahusiano yana miaka miwili! Katika mahusiano yenu mliishi kama mke na mume?? Kama kila mmoja alikuwa anaishi kwake sioni sababu ya wewe kulalamika cha msingi umeshikwa sasa basi shikamana.

Piga mahesabu, mtoto ana miezi mitatu+mimba miezi tisa....!! Ndoa ina mwezi tu, we achana na yaliyopita shukuru umeolewa then jenga ndoa yako unless useme pia anakunyanyasa.
 
habar wana jf,..mimi ni mcchana umr kat ya miaka 23-25nlbahatka kupata kijana ambaye 2lpendana 2kawa kwny mahusiano takrban miaka miwl hatmaye mwaka jana dec 2lfunga pingu za maisha xx 2naish kam mume na mke,lkn iman yang imepotea kwake coz nlipgiwa cm na mwanamke m1 akiwa analia ananambia kw nn nmemfanyia ivo kumbe mumewang amezaa na huyo bint mtt ana miez 3 xx nlipoeka loud il mume wang ackie alikir kua ni kwl altokaga nje et mara 1 ila hana uhakika kam ni mwanae,..nishaurin jaman ni kwl itakua co mwanae?coz iman imepotea juu ya mume wang ukizngatia ndo kwnz 2namwez tang 2funge ndoa..

kwanza jifunze kuandika kama ulivofundishwa!

pili hilo suala linawezekana na huyo mtoto ni wake ila maadam wewe ushaingia hiyo ndo ndoa mama! funga kibwebwe songa mbele, shukuru Mungu kumekuwa mtoto je ungeambiwa ukimwi? tena shukuru Mungu amekuonesha mapema ndo usibwete sasa! maana mnajiachiaga utasema umemuumba wewe!!!!
 
Mumeo Kuwa na mtoto nje is not a big deal , ishatokea sasa , what's the way forward , we shikamanaa na ndoa yako mtegemee Mungu , wapo wanaume wengi wana watoto nje ila Hawa disclose , so Kuwa na amani tu,
 
habar wana jf,..mimi ni mcchana umr kat ya miaka 23-25nlbahatka kupata kijana ambaye 2lpendana 2kawa kwny mahusiano takrban miaka miwl hatmaye mwaka jana dec 2lfunga pingu za maisha xx 2naish kam mume na mke,lkn iman yang imepotea kwake coz nlipgiwa cm na mwanamke m1 akiwa analia ananambia kw nn nmemfanyia ivo kumbe mumewang amezaa na huyo bint mtt ana miez 3 xx nlipoeka loud il mume wang ackie alikir kua ni kwl altokaga nje et mara 1 ila hana uhakika kam ni mwanae,..nishaurin jaman ni kwl itakua co mwanae?coz iman imepotea juu ya mume wang ukizngatia ndo kwnz 2namwez tang 2funge ndoa..

Nina hamu sana kuelewa ulichoandika...........
 
Back
Top Bottom