Kuna makanisa mengine atulali usiku kwa kuomba

Kuna makanisa mengine atulali usiku kwa kuomba

Hii kitu imekuwa shida tanzania nzima
acheni uchochezi, shida ipo wapi? Badala ya kushukuru vibaka na wezi, wanga, mapaka na bundi hawawasumbui usiku kutokana na kelele hizo mnakua kutokwa povu kwa vitu minus
 
acheni uchochezi, shida ipo wapi? Badala ya kushukuru vibaka na wezi, wanga, mapaka na bundi hawawasumbui usiku kutokana na kelele hizo mnakua kutokwa povu kwa vitu minus
Kwani bundi ni shetani ??

Bundi si ni jamii ya ndege,usiku ni mida yake au,kuhusu nyau usiku ni muda wa kujivinjari,wanga hao unawajua wewe
20250515_001642.jpg
1748124339848.jpg
 
Mkuu nilitaka unipe elimu kidogo hivi shetani kuambwa na Nani??
shetani alikuwa malaika mkuu akiitwa lucifa, alikuwa kiongozi wa malaika huko mbinguni. Alipoasi akatupwa chini pamoja na malaika wachache waliomuunga mkono, ndio hao mapepo. Wana nguvu ila haizidi nguvu za Mungu. Unataka umuone shetani physically? utasubiri sana!
 
Hili la makanisa kuanzishwa kila siku kwenye makazi ya watu NI kansa, yaani saa sita usiku Sauti IPO juu Sana, kuna haja ya kupiga marufuku kelele za makanisa na misikiti
Mbona bar na pub zinaanzishwa kwenye Makazi ya watu na zina kelele pia
 
Kelele zao ndiyo chanzo cha Mimi kukosa kusikia, yaani wanapiga kelele utafikiri mungu wanayemuomba NI kuziwi,

Kama mungu wao anajua mpaka ya rohoni mwao kwanini wapige kelele
zile ni kele za shangwe wewe, Mungu huketi kwenye sifa, ibada ya sifa na kuabudu isikukere
 
Mm Jirani yangu kbs kajenga lake la mabati hapo kwakee aiseee n Kila cku injilii mpk masikio yameshazoea ...ss hv nasikiaa nyimbo ya Rozi muhando HICHO KIATU ,KIVUEE
 
Hivi kwanini iko hivi maana kama kuomba si iwe kwa watu husika sio kwa mtaa mzima au eneo zima amlali ni kwaya usiku kucha ukienda kuangalia kanisa ndani wapo watu awazidi watano
Mtuonee huruma tunapishana kwenye Imani
Ngoja tukemee pepo. Pepo toka kwa jina la Yesu. Pepo la roho mwovu toka kwa jina la Yesu. Pepo la kuchagua kelele za walevi na wafanya Anasa toka kwa jina la Yesu.
 
shetani alikuwa malaika mkuu akiitwa lucifa, alikuwa kiongozi wa malaika huko mbinguni. Alipoasi akatupwa chini pamoja na malaika wachache waliomuunga mkono, ndio hao mapepo. Wana nguvu ila haizidi nguvu za Mungu. Unataka umuone shetani physically? utasubiri sana!
Ok nimekupata mkuu, sasa swali langu NI hili kwenye vitabu vya dini vinasema Mungu NI muweza wa yote na anajuzi wote, kiufupi vitabu vya dini vinasema kuwa mungu anajua kila kitu, yaani ananijua Mimi kabla hajaniumba, alikuwa nitaishi vipi hapa duniani, nitakufa lini na wapi, na nikifa nitaenda motoni au peponi


Sasa napata kuelewa Kwa sifa hizo za mungu alishindwa vipi kujua malaika wake aliyemuumba atamuasi????

Au mungu alimuumba shetani makusudi ili apate kisingizio cha kutuchoma Moto????
 
zile ni kele za shangwe wewe, Mungu huketi kwenye sifa, ibada ya sifa na kuabudu isikukere
Ibada kwako wewe Mimi halinihusu, labda aniambie mungu wako NI kiziwi anahitaji kelele ili asikie, kama mungu anaona hadi rohoni mwako kwanini hizo kelele usipige Rohoni mwako na mungu wako akakuona???
 
Back
Top Bottom