Kuna makanisa mengine atulali usiku kwa kuomba

Kuna makanisa mengine atulali usiku kwa kuomba

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
545
Reaction score
1,178
Hivi kwanini iko hivi maana kama kuomba si iwe kwa watu husika sio kwa mtaa mzima au eneo zima amlali ni kwaya usiku kucha ukienda kuangalia kanisa ndani wapo watu awazidi watano
Mtuonee huruma tunapishana kwenye Imani
 
Na hili serikali tunaomba waliangalie
 
Hivi kwanini iko hivi maana kama kuomba si iwe kwa watu husika sio kwa mtaa mzima au eneo zima amlali ni kwaya usiku kucha ukienda kuangalia kanisa ndani wapo watu awazidi watano
Mtuonee huruma tunapishana kwenye Imani
Ndo umasikini wa kujenga nyumba zinazoruhusu sauti kupita. Weka sound proof ili usikereke na sauti za wanaoabudu.
 
Hili lishakuwa tatizo sugu, walokole wengi wanautumia vibaya uhuru wa kuabudu, Mamlaka zinazohusika na mazingira nazo ziko kimya kukemea huu uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele
 
Hivi kwanini iko hivi maana kama kuomba si iwe kwa watu husika sio kwa mtaa mzima au eneo zima amlali ni kwaya usiku kucha ukienda kuangalia kanisa ndani wapo watu awazidi watano
Mtuonee huruma tunapishana kwenye Imani
Kweli kabisa, makelele kwenye nyumba za ibada si sahihi, yaani wengine unakuta kabisa spika zimewekwa nnje zinatupigia kelele alfajiri wakati watu tupo kwenye "morning glory", sasa sijui wanahubiria wa nnje au wa ndani!!???
 
Hili la makanisa kuanzishwa kila siku kwenye makazi ya watu NI kansa, yaani saa sita usiku Sauti IPO juu Sana, kuna haja ya kupiga marufuku kelele za makanisa na misikiti
 
Hili la makanisa kuanzishwa kila siku kwenye makazi ya watu NI kansa, yaani saa sita usiku Sauti IPO juu Sana, kuna haja ya kupiga marufuku kelele za makanisa na misikiti
si ulale? Watu wanaomba halafu we unakosa usingizi, afya yako si nzuri
 
Kweli kabisa, makelele kwenye nyumba za ibada si sahihi, yaani wengine unakuta kabisa spika zimewekwa nnje zinatupigia kelele alfajiri wakati watu tupo kwenye "morning glory", sasa sijui wanahubiria wa nnje au wa ndani!!???
afya zenu si nzuri mna matatizo ya kishetani
 
Hivi kwanini iko hivi maana kama kuomba si iwe kwa watu husika sio kwa mtaa mzima au eneo zima amlali ni kwaya usiku kucha ukienda kuangalia kanisa ndani wapo watu awazidi watano
Mtuonee huruma tunapishana kwenye Imani
Hanna haja kutumia loudspeaker kwa idadi ndogo ya watu.Mungu in Mungu wa wote wala siyo kiziwi hata ukinong'ona anasikia
 
si ulale? Watu wanaomba halafu we unakosa usingizi, afya yako si nzuri
Kelele zao ndiyo chanzo cha Mimi kukosa kusikia, yaani wanapiga kelele utafikiri mungu wanayemuomba NI kuziwi,

Kama mungu wao anajua mpaka ya rohoni mwao kwanini wapige kelele
 
Back
Top Bottom