CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
hali zenu wanaMMU,
Joy na mumewe wamefunga ndoa mwaka jana,baada ya mwaka wakabahatika kupata mtoto. sasa Joy kanambia ana mpango wa kuhamia Arusha (kwani wanaishi Moshi) na kumuacha muwewe kisa Moshi watu wanamfatilia sana maisha yake na mumewe asionekane na mumewe akifurahia ndoa,washasema maneno kwamba anajisikia, wadada wa mjini walishamtisha kuwa wanatoka na mumewe,mara mumewe ni mwathirika,in short hana raha kuishi hapo anapofanyia kazi mumewe. kaamua kuhama ili kuepuka hizo karaha.je ni sahihi?
Joy na mumewe wamefunga ndoa mwaka jana,baada ya mwaka wakabahatika kupata mtoto. sasa Joy kanambia ana mpango wa kuhamia Arusha (kwani wanaishi Moshi) na kumuacha muwewe kisa Moshi watu wanamfatilia sana maisha yake na mumewe asionekane na mumewe akifurahia ndoa,washasema maneno kwamba anajisikia, wadada wa mjini walishamtisha kuwa wanatoka na mumewe,mara mumewe ni mwathirika,in short hana raha kuishi hapo anapofanyia kazi mumewe. kaamua kuhama ili kuepuka hizo karaha.je ni sahihi?