Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,856
- 399
Wakati akitoa hotuba yake fupi ya kuwashukuru wabunge kwa kumpitisha kuwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda aliendeleza kauli yake maarufu kwamba yeye ni mtoto wa mkulima. Nimekuwa nijiuliza mara kwa mara mantiki ya kauli hiyo. Lakini naona kama imekaa kisiasa zaidi. Binafsi ningeona kuwa ni kauli ya maana kama tungeona 'impact' ya uongozi wake katika kuwakomboa wakulima wa nchi hii. Lakini sioni mabadiliko yoyote. Wakulima wanaendelea kuwa ndiyo mafukara siku hadi siku. Sijui mnasemaje wanajamvi?