Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hadithi nyingine bwana! siku nyingine uwe unajitahidi kuweka uhalisia kidogo kwenye story zako. Huyo mtu amekaa jela miaka 27 na kabla ya hapo aliua watu 19! Hivi kabla ya kwenda jela alikuwa na umri gani na baada ya miaka 27 ana umri gani?