Kuna kuolewa hapa kweli?

Kuna kuolewa hapa kweli?

Ki ukweli nimemchoka huyu BF wangu, yeye hawezi fanya mapenzi bila kunila choo, ananiudhi sana.

Nimechoka kwa kweli, mwanzo nilikuwa naona poa na nilikuwa naenjoy ila sasa wala sifurahi tena, nikimnyima tu ni ugomvi mkubwa yani, ki ukweli nataka kumuacha maana huu mchezo umenichosha.

Huyu mtu ni katili sana na ananitishia. Nalifanyaje hili baba jamani?
MKUU HUYO BF WAKO HAKUPATII VIZURI,,,,,njoo PM TUPANGE YETU....wachana nae,,,,,CHOO hakitaki PAPARA MKUU,,,,.hapa nilipo USHANITENGUA UDHU MKUU, ,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana, usiikimbilie ndoa, kadri unavyoikimbilia na yenyewe inazidi kuongeza kasi. Tuliza akili sahau kuhusu ndoa sahau kuhusu mapenzi. Umesha jikwaa umeanguka Sasa nyanyuka na uanze Safari upya ila badili uelekeo kwa muda focus na vitu vingine nje ya mapenzi na ndoa.
Jipe muda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Profile inaonyesha umejiunga jana....but i can tell una ID kongwe, hii ni ya kutuletea janga lako hili.
Mdogo wangu kwa umri ulo nao late 20s upo desparate kuolewa na huyo "mbaba boyfriend " kesha kusoma so anatumia desperation yako kukutumia na kukuharibu kwasabu huna akili.
Huna akili ulifikiri kutoa nyuma ndo ticket ya ndoa? Ulifikiri playing wifey na kuishi nae ndo atakuoa?
Pole sana ila hatakuoa....Narudia tena HATAKUOA.
Na kama una akili hata chache zilizobakia kusanya vyako ondoka na usigeuke nyuma. Ukikaa zaidi ataendelea kukuharibu ukijashtuka utakua huna breki nyuma na siku ataleta binti fresh anaejielewa akutimue wewe ukiwa ushaoza hufai kuolewa hata kwa mahari ya kilo ya sukari.
Halafu ye mwenyewe ana walakini mtu wa 40+ hajaoa???Umemchunguza vizuri kweli?Hajaacha familia kijijini huyo? Mlipima afya kweli???
Naogopa kwa ajili yako mdogo wangu...pack your stuff and leave it's not late to start over.



Sent using Jamii Forums mobile app

ushauri mzuri...bint sikiliza dada zako hawa
 
Kwa mantiki hiyo huyu hanifai japo la kuwa na ndoa sidhani
labda pengne ni muda muafaka wa kumuweka kitako na mkajadili kuhusu hili,tena umuombe tu awe muwazi.usiogope kuzungumza nae sababu hili swala ni la maisha yako.
 
Shoga hili sema nini? Mods watafute namna ya kuwa screen mashoga wanatuchafulia jukwaa. Ndio maana covid inazidi kupaa.
Jishughulikie kwanza maisha yako ndugu, uweze kuwa sawa. Alikuambia mimi ni wa hivyo nani? Aisee pole sana
 
Wakuu habari zenu humu,

Nina huyu Bf wangu tuna muda mrefu pamoja, yeye umri umeenda kidogo maana ni 40+ na mimi nakaribia 30. Nilimpenda huyu baba sana naye alinipenda na nilijua atanioa. Basi nikimpa mapenzi motomoto, nilijituma kweli kweli, yaani kwenye 6x6 nilihakikisha anaridhika kabisaa, na hapa ndio nikajikuta nampenda mpaka nikakubali kuliwa mpaka michezo ya nyuma na anapenda sana hayo mambo, sikuona shida maana nilijua ndio mume wangu huyu.

Sasa tupo pamoja huu mwaka 3, sioni dalili yoyote ile, hata kwao hajanipeleka zaidi ya kuwa namjua kaka ake mmoja tu. Mama yake yupo ila baba yake alishakufa. Hata nikijisemesha semesha kuhusu future yetu wala hachangii sana na atabidili mada fasta. Sasa mimi nimechoka kwa kweli, zaidi naona ananitumia tu na hiki kupindi cha Corona basi nakoma mimi, (maana kwa sasa sina kazi kwa hiyo nipo hapa kwake kwa muda huku naangalia michongo mingine) maana bar haendi tena basi akirudi tu nyumbani yaani yeye anataka tu mapenzi tu, kabla hatujala, baada ya kula, tukiwa tunaangalia movie, yaani kifupi muda wote yeye anataka tufanye tu na huo mchezo wake wa nyuma ndio nachoka kabisa.

Ki ukweli nimeanza kuchoka haya maisha na ukimnyima mchezo ni ugomvi au kununiwa haswa. Sasa nawaza tu huyu mtu atanioa kweli ama ananitumia tu hapa? Natamani kumuuliza ila naona kama ataniona labda nampendea ndoa tu, ile je yeye anavyonitumia ni sawa? nimechoka jamani.

Naombeni ushauri jamani
Umewahi muuliza mambo ya ndoa kasemaje.... Afu watu wa 40years bila kuoa.. Alafu hana sababu za msingi kama ugonjwaa, ndoa ya awali kuvunjika, au kufiwa na mke..... Huyo ujue chizi..... Hutafanya la maana.... Afu nyie wadada bana..... Wanaume ambao hawaeleweki ndio mnazimika kwao balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom