Kosa nisilosamehe kwa demu wangu ni kugawa papuchi nje
si ungesema tu Diamond.....
amsaidie tu sidhani ka kuna jambo atapungukiwa zaidi naona tu kuna baraka atapata.
habarini wana mmu,
kuna habari nimeisoma mahali nikaona si vibaya nikiwashirikisha ambayo imenifanya nijiulize kweli KUNA KOSA LISILOSAMEHEKA? kuna mwimbaji maarufu wa bongo flava ambae ana pesa na hata amemnunulia mama yake gari la 38 M na pia anatumia mamilioni ya pesa kwenye starehe ili hali baba yake anaumwa mguu kwa muda mrefu bila msaada wowote ikiwa ni sh milioni 1 tu ndio inayoitajika kumtibu.
Kipindi cha nyuma kidogo mwimbaji huyu aliwai kusema kuwa baba yake alimkana,na mama yake ndie aliyeangaika nae toka mdogo kwa kila kitu.
Ingawa mwenye kuhuku ni Mungu lakini kwa hisia zako hivi alifanyalo huyu mwimbaji ni sahihi au si sahihi?
Ni hayo tu,nawatakia week-end njema.
NB: kwa ambao mmeshavurugwa na foleni,kazi,stress e.t.c msi comment
Ipo siku ataelewa umuhimu wa babaye
habarini wana mmu,
kuna habari nimeisoma mahali nikaona si vibaya nikiwashirikisha ambayo imenifanya nijiulize kweli KUNA KOSA LISILOSAMEHEKA? kuna mwimbaji maarufu wa bongo flava ambae ana pesa na hata amemnunulia mama yake gari la 38 M na pia anatumia mamilioni ya pesa kwenye starehe ili hali baba yake anaumwa mguu kwa muda mrefu bila msaada wowote ikiwa ni sh milioni 1 tu ndio inayoitajika kumtibu.
Kipindi cha nyuma kidogo mwimbaji huyu aliwai kusema kuwa baba yake alimkana,na mama yake ndie aliyeangaika nae toka mdogo kwa kila kitu.
Ingawa mwenye kuhuku ni Mungu lakini kwa hisia zako hivi alifanyalo huyu mwimbaji ni sahihi au si sahihi?
Ni hayo tu,nawatakia week-end njema.
NB: kwa ambao mmeshavurugwa na foleni,kazi,stress e.t.c msi comment
Hakuna kitu watoto wanapenda kama kuambiwa baba yake....hata awe mbaya namna gani, ila wewe mama ukimuacha mtoto baba akamlea mtoto akiambiwa yule ni mama yako anakuona mkatili mno,sisi wabab tuna faida hiyo,na ndio maana watu huwa wanaacha watoto na kusema akikua atanitafuta mwenyewe...hahahahaha sasa si ndio anaambiwa kuwa yule ni mtu aliye contibute sperms hadi akatoka mtoto lakini hamna lingine la ziada alilolifanya
Bulldog;
Akiwakatia akawaachia huko sintamsamehe, lakini kama kafanyia huko akijificha wala sijamwona, akarudi keshaoga. Ni mpya tuu tena sometimes ni kavuuuuuuu.
Ukianza kelele, mbona nilikuona, mbona nilisikia, mbona, mbona. Mapaparazi watasikia nao watayaandika maneno haya; Bulldog kachapiwaaaaaa. Aibu ni yako tu wala si ya dem wako. Yeye kafanya yale yanayo mhusu umfanyie weyee.
Ushauri wangu kwako Bulldog, Ukichapiwa nyamaza. Muulize dem, nimepungua nini hata uchepuke?? Rekebisha, hatarudia
lakini baba ndio alimkataa tangu mdogo kuwa si mwanane, apewe msaada kam raia wa kawaida au amwambie BABA naomba nikikutibu?Ipo siku ataelewa umuhimu wa babaye
Roho mbaya kwa kutomsaidia huyo mtu? wanaohitaji msaada ni wengi sana anauwezo wa kuchagua anaetaka kumsaidia, mbona kuna watoto ambao Diamond anawasomesha wazazi wao hawana uwezo? Baba kama amegundua alifanya kosa angemuita Diamond na mamayake amueleze kilichosababisha yeye kumkana hata kama ni sababu ya ujinga wake akubali alikosa kwa Mungu na kwa mwanae pia wayazungumze aombe msamaha ale mema ya mwanae, kujisahaulisha kosa hakuondoi maumivu kwa ulie mkosea ila kuomba msamaha kuna kuweka huru. Dini zote zina himiza toba kabla hujalala hakikisha umetubu yote. Pengine Dimond anakubaliana na huyo mzee kuwa si motto wake.mdomo unaponza! Lakn sio vbaya ulivyomtaja cos mm nilikuwa simjui.
Kumbe jamaa anaroho mbaya kiasi hicho!
Hivi aliekuzaa akkuatupa na aliekuokota akakulea yupi yuko sahihi kupata matunzo kutoka kwako? Wanawake wanaotupa watoto husakamwa sana na kuonekana wauaji, ila wanaume wanaokataa watoto wao , wanaonekana walikosea kitu kidogo tu wasamehewe kirahisi tu wakati asilimia kubwa ya watoto wa mitaani ni sababu ya kukataliwa na baba zao na kukosa matunzo. Watoto wana haki zote, MBONA HUYO BABA HAKUMLEA HATA KAMA ALIHISI SI WAKE? KWANI ANGEMLEA AKAKUA AKAMWAMBIA MI NI BABA MLEZI SI MZAZI WAKO ANGEPUNGUKIWA NINI? ALIKWEPA MATUMIZI YA MTOTO IKAWA POA, LEO MTOTO ANAKWEPA MATUNZO KWA MZAZI ( KAMA NI KWELI MZAZI WAKE) INAONEKANA MBAYA,! Kwa nini?Mzazi ni Mungu wa pili. Akilaani hamna anayeweza kurekebisha hiyo laana