Kusamehe ni moyo wa mtu, inategemea pia aliimia au madhara aliyopata kwa kukanwa na babae pia hvyhvy kwa ***** aliumia kiasi hadi ashindwe kumshawishi mwanae amsamehe babake, pengine ndie alisababisha wakakulia maisha waliokua nayo. UNAPOSKIA MALIPO HAPAHAPA DUNIANI NDIO HAYO. naungana nae kwa maamuzi yake.