wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Kufuatia balozi Polepole kujiudhulu na kwenye barua yake mwishoni kasema yeye atabakikuwa mwanchama mtiifu wa CCM huu ni mtego amewapa.
Yaani Polepole ninaemjua atatoa kauli moja ya kuchafua hali ya hewa ili wamvue uana hama hapo ndio atawavua nguo mwanzo mwisho.
Mpaka sasa kashajipanga liwalo na liwe
Hapa ushauri wangu kwa CCM wasimjibu chochote zaidi ya hapo wataharibu .
Yaani Polepole ninaemjua atatoa kauli moja ya kuchafua hali ya hewa ili wamvue uana hama hapo ndio atawavua nguo mwanzo mwisho.
Mpaka sasa kashajipanga liwalo na liwe
Hapa ushauri wangu kwa CCM wasimjibu chochote zaidi ya hapo wataharibu .