Sasa hapo nimekariri nini, kwani huku ni arabuni?Msiishi kwa kukariri kofia kanzu ni mavazi tu naona huku mtu akivaa kanzu tu au kofia shekhe arabuni watu wanatia kanzu za maana(sio hz za 5,000 rangi tatu) na yupo bar anakula vyombo sijui huku kwetu tunachukuliaje haya mavazi!
Mwangalie huyo maalim anavyotoa machoSijagundua. Kipi hakipo sawa?
Augustino Mrema hivi ni dini gani?Hujagundua bado
😂😂😂😂Mwangalie huyo maalim anavyotoa macho
Ustaadh anaangalia kitimoto kwa matamanio ya hali ya juu sana.