Mkuu...ebu tusianze kuokotezaaaaaa comments ili kukimbia hoja
Nina haki ya kutoa maoni na matazamo wangu as far as naona mambo hayaendi sawa.
Hii ni wake up Call kwa mwenyekiti wa Bavicha........Akiendelea kwa mwendendo huu of course tutakuwa tumepoteza big time
Kwa mawazo yako unafikiri wanaokipigia kura ya ndio chadema wote ni wanachama?
Nakubaliana na wewe, kuogopa mijadala kutafanya viongozi wasiwe na weledi au uwezo wa kupambana kihoja na hili ni baya pindi watakapokutana na vijana wa ccm walio makini (kama wapo), mijadala inapanua ubongo na mtu anajiona kwenye kioo wapi amechafuka au wapi nguo imechanika, tuache kuitana ccm au act kukwepa hojaIfike Mahali tuache Tabia yakukwepa Mijadala kwa kumshambulia Mtoa hoja,
Nadhani kwa Namna Moja ama Nyingine Freeland ana hoja nzuri na inajibika kwa hoja.
Ndugu Chademakwanza Natambua ushiriki wako katika harakati zifanywazo na BAVICHA hususani Mkiongozwa na sosopi.Ila bdo Uwajibikaji wa Pamoja kama Baraza haujakaa sawa.
Labda Nyie Waswaga Fisi ndio Mnamchukia.Patrobas anachukiwa sana na viongozi wakuu wa Chadema kisa hatoki kaskazini,
Hujaelewa ninacho kimaanisha mkuu, hivi hata kwenu unaingia tu na kuanza kuoakua wakati baba yako hajapakua chakula, tunahitaji bawacha yenye kasi na inayoonyesha njia,ili kuwatia moyo na wengine,unafikiri heche angekuwa anafanya kazi hivi leo tungekuwa na bawacha hii?.
Tuache mawazo mgando
Ongelea Umoja wenu wa Waswaga fisi,BAVICHA imekuzidi kimo.Hivi viongozi wa Bavicha ni kina nani.
we ndo hovyo kabisa sasa hapa unafanya nini!?By Freeland :
A lady Upendo Furaha Peneza
would have fitted for this
job.....Tumepoteza sana kwa
yule Patrobas kuchukua hii Youth
Wing
Finally you show up your colours!
Dah! Usipoangalia watu watakuwa wanakutizama kama roboti, kuna wakati huwa natamani nikuone live maana huwa najiuliza kama akili yako hivi mwonekano wako ukoje?Chaguo la Mbowe lilikuwa upendo, Patrobas hapati ushirikiano kutoka makao makuu, hata mikutano anayofanya anatumia pesa zake mwenyewe.
Upo sahihi sana ndugu.Huyo jamaa yupo kwenye mission hiyo.Hajawahi kuongea point hata moja.Nawashangaa sana wanaomuunga mkono na huku wanajiita makamanda.
Na ndiye kiongozi wa hii mentality kuwa kila anayekosoa hata kama ni kwa hoja kiasi gani basi ni mwanaccm.Na kuna watu wamehadaiwa mpaka wanatia huruma na jamaa.Kama sivyo basi wapo kwenye mission moja
Patrobasi ni kibaraka wa ccm kupitia Dialo
Ongelea Umoja wenu wa Waswaga fisi,BAVICHA imekuzidi kimo.