Upinzani ukisimama imala,jiwe hatoboi hata akitumia dola..✌✌💪💪💪
Umoja ni nguvu. Mutharika kesha pata wito mahakamani.
Eeh mola wetu utusikie sisi waja wako, tuko chini ya miguu yako.
Upinzani ukisimama imala,jiwe hatoboi hata akitumia dola..✌✌💪💪💪
Tujiandae kuipa makovu CCM kama alivyowapa LowassaEndeleeni kujifariji, Membe ana kazi maalum huko upinzani mjandae kisaikolojia!!
Jibu swali.Roho inakuuma?
Kwahiyo Membe akikubali kumuunga mkono Lisu, huyo Membe atakuwa siyo jasusi aliyekuja kuvuruga upinzani tena?Kwani naongea matamanio? Naongea mipango ambayo imeshapangika!
itakuwa ni turufu ya nguvu.
Ujio wa Membe ACT wazalendo ni faraja ,Mwendo Mpera Mpera kama 2015,lazima tuwatemeshe ndoano!!Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo.
Tweet husika ni hii:
"Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli kulinda demokrasia na kuleta mabadiliko, haki, utawala bora unaofuata sheria. Tundu Lissu akipitishwa nitashirikiana nae na viongozi wengine katika uchaguzi”
Mhusika kaandika Maneno hayo na kuweka picha ya Membe.
Tweet nyingine ni hii:
CHADEMA watamsimamisha
@TunduALissu
mgombea Urais 2020 & mgombea mwenza wa Lissu atatoka Zanzibar.
@ACTwazalendo
hawatasimamisha mgombea lakini
@BenMembe
atakuwa mshauri & strategist kumsaidia Lissu; CCM watamsimamisha JPM & Samia SULUHU
Huu muunganiko wa Lissu, Membe una baraka zote kutoka kwa Mwenyezi Mungu
Hizo ni propaganda kwamba amekuja kuvuruga upinzani , ni upuuzi huo!! Maumivu aliyowatandika ENL 2015 yalikuwa ya hatari mpaka JIWE aliisoma namba ,Kukosa Lubuva kuokoa jahazi tungezungumza mengine.Kwahiyo Membe akikubali kumuunga mkono Lisu, huyo Membe atakuwa siyo jasusi aliyekuja kuvuruga upinzani tena?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Kwanini waogope? Kwani Magufuli hana sifa za kumzidi Lissu?Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.
Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.
Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.
Sasa kama tunajua Lisuu atawekwa ndani, Nyalandu mgombea dhaifu... Kuna plani gani nyingine...kuungana na ACT kwa Membe.Ni kweli kabisa Nyalandu kajipanga, ila anakubalika? Lissu ndio anayekubalika. Sisi wote tunajua kuwa Lissu atawekwa ndani, lakini hiyo haitufanyi tuende na bora mgombea, huku tukijua fika Nyalandu ni mgombea dhaifu.
Mkuu hiyo karata ikifanyika Membe hatakuwa tena pandikizi? Ila akigombea kupitia ACT atakuwa pandikizi?Pana chama hawapendi kabisa kuisikia karata hii. Watafanya yote ili karata hii isipatikane.
Washindwe na walegee!
Nyuzi zote zenye majina ya Lissu na Membe 'WAZEIYA' wanajazana hapo kutolea macho kila post.Salary Slip usiongee sana yaliyoko jikoni, kunguru ni wengi wana nusanusa.
Kweli dadangu wa nguvu!Huu muunganiko wa Lissu, Membe una baraka zote kutoka kwa Mwenyezi Mungu
Tulishawazoea nyie, huwa mnaangalia upepo unakovumia!Hizo ni propaganda kwamba amekuja kuvuruga upinzani , ni upuuzi huo!! Maumivu aliyowatandika ENL 2015 yalikuwa ya hatari mpaka JIWE aliisoma namba ,Kukosa Lubuva kuokoa jahazi tungezungumza mengine.
Membe amefukuzwa CCM na alikuwa threat sana kwa JIWE na alitangaza waziwazi kwamba atagombea hakuna cha utamaduni wala nini ,kama utamaduni wenu wa ccm kumuachia miaka 10 pelekeni wizara ya utamaduni,sanaa na michezo na sio kwenye chama!!
Matamanio ya kijinga kabisa
Wewe jamaa nilishashindwa kukuelewa. Hivi uko upande gani ccm au upinzani? CHADEMA walio wengi wanamtaka Lisu ila wewe huishiwi ngojera za kumpinga Lisu.Mgombea wa uhakika na aliejipanga ni Nyalandu lakini bado mnahangaika na Lissu wakati inajulikana Kuna asilimia ndogo Sana kwa Lisu kusimama jukwaani na kuomba kura.
Huu utawala hautaruhusu kitu kama hicho kamwe.