rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Jaman kwa wahusika wa ngazi za juu waliopo nmb na umu jamiiforum,
Kuna kero kubwa sana kwa mawakala wakubwa mfano m-pesa wakienda kutoa pesa bank kupitia uwakala yan mara nyingi pesa zina nasa na unaambiwa subiri.
Muda mwingine mnachukua mpaka siku tatu au nne kurudisha transaction.
Cc: Nmb tawi la kiteto.
Kuna kero kubwa sana kwa mawakala wakubwa mfano m-pesa wakienda kutoa pesa bank kupitia uwakala yan mara nyingi pesa zina nasa na unaambiwa subiri.
Muda mwingine mnachukua mpaka siku tatu au nne kurudisha transaction.
Cc: Nmb tawi la kiteto.