Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,323
- 108,385
farkhina si nilikwambia...unaona ha ha ha!!!
Ha ha ha!!!...weye na shogako mwaujua ugonjwa wangu...yeye nesi na wewe ndiye tabibu lol
Ukigusa wangu mwili na kujua langu joto hakika wayajua yangu maradhi...heheheyaaa!!!
Nitibu taratibu basi afya yangu ipate rejea....