Kuna Kabinti binti binti Kananizinguaaaa...!!!!

Kuna Kabinti binti binti Kananizinguaaaa...!!!!

Kiboko ya urembo ni uzee, makunyanzi yakishaanza na mashavu kushuka inabaki story.
 
utaishia kunawa tuu kula huli..............
mchoree picha ubongoni mwako halafu wakati una mdu mkeo uashume ndiye
Duuuuh!umeandika huku kifua kimekujaa,mzuri mzuri tu,hata kwetu siye wanaume kuna ma-handsome kama akina T.I,lazima tukubali tu!
 
kweli ni mzuri
kijana una haki ya kulalamika anakuzingua.
 
utaishia kunawa tuu kula huli..............
mchoree picha ubongoni mwako halafu wakati una mdu mkeo uashume ndiye

Mwisho atakuchora weye maana mie naona mmefanana, na haswa kwa wakati huu vijana hula tu kwa macho maana wamechacha
 
Back
Top Bottom