BABA BOMBASTIC
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 349
- 570
Habari zenu ...
Kama mtakuwa tayari kuwapa hii elimu adimu ambayo huwezi kuipata popote pale iwe shule au wapi,ila kwa mtu anayefikiria kwa kina sana, sia kila kitu anakubali tu na kushindwa kuhoji kwanini nipo hapa,kwa mtu mwenye uelewa mdogo naomba kabisa upite tu maana nitakuchanganya kabisa,hapa nahitaji watu wenye vichwa vigumu,watu wanaofikiri out of box sio vilaza,na wasio uliza why??
Naombeni kabisa kama utaona hii ELIMU haikufai kaa kimya sio una comments utumbo na kwa kuwa umepata ELIMU yako hiyo ya chuo u ajiona unaakili sana hii kwako ni level nyingine huiwezi kabisa.
Nimeona nitoe tahadhali maana tupo hapa kujifunza,maana kuna watu wenye uelewa mdogo ukianza kuuliza kwanini nipo hapa duniani wanaaza kusema tunakufuru.
Sisi binadamu ni mwili wa njee ila ndani yetu kuna roho ambazo zipo toka enzi hizo,wote hapa hatujui hizi roho zilitengenezwa lini? Wala hatujui aliyetutengeneza ni nani? basi inapaswa kujichunguza maana tumepewa akili na maarifa mengi hapa duniani.
Basi ndugu zangu kama upo tayari naomba comments nipo tayari nahitaji watu 100 tu ambao nitakuwa nao serious wenye uelewa mkubwa na ambao wanafikri out of box,sihitaji wale wa mipasho na kujifanya kila kitu wanajua,binadamu tunategemeana mimi na hichi na wewe una kile basi,tupo hapa kupeana maarifa maana sisi ni roho na tupo hapa kujifunza zaidi ili tuvuke level hii twende pengine huko,tusirudi tena kwenye huu ulimwengu..
Sasa comments nipo tayari kujifunza nahitaji zifike 100,maana jana militia nyuzi kidogo tu kuhusu mbinu za kupambana na mshindani wako kwenye biashara kuna watu nimegundua humu wanauelewa mdogo sana yani mdogo sana,basi nataka niwape darasa..
.....TWENDE SAWA........
UKIONA HII HAIKUFAI KAA PEMBENI TAFADHALI KAA PEMBENI NARUDIA TENA,
Kama mtakuwa tayari kuwapa hii elimu adimu ambayo huwezi kuipata popote pale iwe shule au wapi,ila kwa mtu anayefikiria kwa kina sana, sia kila kitu anakubali tu na kushindwa kuhoji kwanini nipo hapa,kwa mtu mwenye uelewa mdogo naomba kabisa upite tu maana nitakuchanganya kabisa,hapa nahitaji watu wenye vichwa vigumu,watu wanaofikiri out of box sio vilaza,na wasio uliza why??
Naombeni kabisa kama utaona hii ELIMU haikufai kaa kimya sio una comments utumbo na kwa kuwa umepata ELIMU yako hiyo ya chuo u ajiona unaakili sana hii kwako ni level nyingine huiwezi kabisa.
Nimeona nitoe tahadhali maana tupo hapa kujifunza,maana kuna watu wenye uelewa mdogo ukianza kuuliza kwanini nipo hapa duniani wanaaza kusema tunakufuru.
Sisi binadamu ni mwili wa njee ila ndani yetu kuna roho ambazo zipo toka enzi hizo,wote hapa hatujui hizi roho zilitengenezwa lini? Wala hatujui aliyetutengeneza ni nani? basi inapaswa kujichunguza maana tumepewa akili na maarifa mengi hapa duniani.
Basi ndugu zangu kama upo tayari naomba comments nipo tayari nahitaji watu 100 tu ambao nitakuwa nao serious wenye uelewa mkubwa na ambao wanafikri out of box,sihitaji wale wa mipasho na kujifanya kila kitu wanajua,binadamu tunategemeana mimi na hichi na wewe una kile basi,tupo hapa kupeana maarifa maana sisi ni roho na tupo hapa kujifunza zaidi ili tuvuke level hii twende pengine huko,tusirudi tena kwenye huu ulimwengu..
Sasa comments nipo tayari kujifunza nahitaji zifike 100,maana jana militia nyuzi kidogo tu kuhusu mbinu za kupambana na mshindani wako kwenye biashara kuna watu nimegundua humu wanauelewa mdogo sana yani mdogo sana,basi nataka niwape darasa..
.....TWENDE SAWA........
UKIONA HII HAIKUFAI KAA PEMBENI TAFADHALI KAA PEMBENI NARUDIA TENA,