Khaa hizi sifa zote za huyo babu? Utakuwa ulimuona mtu mwingine weweBrother nimekuelewa mnoo...Nalijua hilo
Ndio Maana nikasema Demi atafaidi sanaa kila Eneo.
Brother hapa Mjini Uko vema mnoo!
1.Handsome
2.Pochi uko Vema Mnoo
3.Mcheshi Hupendi Makuu
4.Huwa Unapenda Kufurahi....Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2014 nadhani Tuliwahi Kukutana Sehemu Na Kina Mpembuzi,Madame B,Paloma pale Maananyamala nadhani,Ukiwa Umepaki Gari yako Kali Pick up ford New Model...
Daa nikasema Mkuu ningekuwa na Dada ningekupa bure kaka!
Pale Mezani kila Mtu alikuwa anakusifia tuu Kaka!
Ndio Maana Nassma Huyu Demi atakula mema ya Nchi sanaa kama akijisalimisha 100Kwako. Na Tuisheni umpe
Kaka Sioni wakushindana na wewe hapa Mjini Dar es salaam.Nasema HAKUNA.
Cc: Warembo wa JF
Kipenzi... ni tamthilia tu. Ondoa mashakaMimi sina maneno😂😂😂
Kipenzi... ni tamthilia tu. Ondoa mashaka
Nami sijawahi kukuhisi....Sina shaka na wewe kabisaaa
Kifiro tenaHuyu jamaa nampango wa kumtafutia wafiraji tu basim
Nami sijawahi kukuhisi....
Kazi iendelee kipenzi...
D kashalala au unamdekeza na matamthilia?
Lile dude lina sura mbaya ajabu, Lakini midume tunahangaika nalo mpaka wengine wanauana..


wanaume mumeumbiwa mateso aiseeSubiri aletewe UKIMWI ndio utamwambia.Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
According to who?Poor argument![]()
wanaume mumeumbiwa mateso aisee
Khaa hizi sifa zote za huyo babu? Utakuwa ulimuona mtu mwingine wewe
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Khaa hizi sifa zote za huyo babu? Utakuwa ulimuona mtu mwingine wewe
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app






Kizee kistaafu cha miaka 70 huko kimetoa wapi hizo sifa?Daaa
Acha kumsingizia Babu wewe...
Huyu Jamaa unajua basi tuu..
Kama Kuna Kitu amekunyima naomba arekebishe Fasta...
Huwa ni Mstaarabu sana na Sio Mchoyo hili nina Uhakika nalo 100%
Cc😡Asprin
Kizee kistaafu cha miaka 70 huko kimetoa wapi hizo sifa?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Utakuja kujua kama ni upumbavu au lah!Acha upumbavu aisee
Kazi iendeleeAnamalizia majukumu ya jioni mama afunge hesabu😃😃
Tamthilia wapi!? HAPA KAZI TUU!