Kuna haja ya kuboresha kitabu cha 'wageni' gesti

Kuna haja ya kuboresha kitabu cha 'wageni' gesti

Mimi hugegeda kwenye gari tu hao wanaokwenda guest house sijui kwanini wanapoteza hela yao. Ila ile siku niliofimwa na wale mwela sitoisahau dadeki yao.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Upo sahihi, na kipengele kingine ambacho sioni umuhimu wake ni kile cha "kazi yako" sasa nikiandika mhasibu au HR itasaidia nini? nafikiri ilitakiwa kuwa "Taasisi yako" au sehemu unapofanyia kazi. Hii ingeweza kusaidia au kurahisisha kuwapata wanaonifahamu endapo litatokea tatizo.

Kitu kingine ambacho nafikiri kingeongezwa ni, "Tatizo la kiafya" kama mtu analo ataje ili ikitokea wajue pakuanzia.

Mwisho nafikiri kulikuwa na haja ya kuweka kipengele cha "Dhehebu" mgeni ataje anaposali na lilipo kanisa lake au msikiti wake. Hii inaweza kusaidia upatikanaji wa taarifa za mgeni endapo tatizo litatokea.

NOTE: Hapa ninawaongelea wageni sio 'wageni'

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hapo mwisho umeniacha hoi

Jr[emoji769]
 
Tunayakiwa tutoe kitambulisho cha taifa mhudumu akihakiki kwa taarifa sahihi kisha namba ya karibu
 
Unaweza kunishangaa kwa mada kama hii na kufikiri nimewaza nini.. Lakini kama hili likifanikiwa tutakuwa tumesaidia kutatua tatizo kubwa sana

Wote tunatambua kwamba guest house ama nyumba za wageni kwa zaidi ya asilimia 80 zinatumika ndivyo sivyo... Kwa asilimia zote hizo huko ni machimbo ya ufuska, umalaya na ngono kwa wanafunzi, wamaume na wanawake wasio waaminifu kwenye ndoa zao, ma bar maid, beki tatu nknk

Ni kwa asilimia chache sana nyumba hizi hutumika kwa usahihi... Kwamba mtu ni mgeni kweli wa hilo eneo na hana ndugu au jamaa au rafiki, ama jamaa yake kutokana na ufinyu wa nyumba yake basi akuchukulie chumba gesti.. Na ni kwa asilimia chache zaidi mtu kuchukua chumba na kulala peke yake[emoji30][emoji848][emoji144]

Mapato ya hizi nyumba hutegemea 'wageni ' wa muda mfupi maarufu kama short time

Sasa basi kwa wale wanaolala kwa sababu zozote zile maranyingi hujaza kumbukumbu za uongo kwenye kitabu husika, kuanzia jina, kabila, mawasiliano mahali atokapo nknk.. Hili huwa gumu mara litokeapo tatizo kwa mgeni
Hivyo basi ni vema kwenye kile kitabu kikaongezwa kipengele cha MAWASILIANO YA MTU WA KARIBU ama msiri in case of emergency..

Pindi likitokea tatizo lolote hasa la ugonjwa ama kifo ni rahisi kwa wanaokujua kupata taarifa mapema na kutafuta msaada wa haraka.. Unaweza kufia gesti na mtu uliyekuwa naye akasepa kisha ukaishia mochwari na baadae kuzikwa na manispaa


Jr[emoji769]
Me nadhan inabidi wawe wanaacha na picha zao hao wageni [emoji3][emoji3][emoji3] au Gest house zote zifungwe CCTV camera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kunishangaa kwa mada kama hii na kufikiri nimewaza nini.. Lakini kama hili likifanikiwa tutakuwa tumesaidia kutatua tatizo kubwa sana

Wote tunatambua kwamba guest house ama nyumba za wageni kwa zaidi ya asilimia 80 zinatumika ndivyo sivyo... Kwa asilimia zote hizo huko ni machimbo ya ufuska, umalaya na ngono kwa wanafunzi, wamaume na wanawake wasio waaminifu kwenye ndoa zao, ma bar maid, beki tatu nknk

Ni kwa asilimia chache sana nyumba hizi hutumika kwa usahihi... Kwamba mtu ni mgeni kweli wa hilo eneo na hana ndugu au jamaa au rafiki, ama jamaa yake kutokana na ufinyu wa nyumba yake basi akuchukulie chumba gesti.. Na ni kwa asilimia chache zaidi mtu kuchukua chumba na kulala peke yake[emoji30][emoji848][emoji144]

Mapato ya hizi nyumba hutegemea 'wageni ' wa muda mfupi maarufu kama short time

Sasa basi kwa wale wanaolala kwa sababu zozote zile maranyingi hujaza kumbukumbu za uongo kwenye kitabu husika, kuanzia jina, kabila, mawasiliano mahali atokapo nknk.. Hili huwa gumu mara litokeapo tatizo kwa mgeni
Hivyo basi ni vema kwenye kile kitabu kikaongezwa kipengele cha MAWASILIANO YA MTU WA KARIBU ama msiri in case of emergency..

Pindi likitokea tatizo lolote hasa la ugonjwa ama kifo ni rahisi kwa wanaokujua kupata taarifa mapema na kutafuta msaada wa haraka.. Unaweza kufia gesti na mtu uliyekuwa naye akasepa kisha ukaishia mochwari na baadae kuzikwa na manispaa


Jr[emoji769]
nilipokuwa chuo nilikuwa naandika majina ya maprof kina RWEKAZA MUKANDALA
 
ushauri mzuri sana huu umetoa....naamini serikali sikivu ya sisiem itafanyia kazi hasa hii ya awamu ya tani Mshana Jr
 
Hebu niache nigonge ulabu bhana. Jana mimegundua sala za wanywaji zinaenda moja kwa moja kwa Mungu bila kufanyiwa urasimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190325-WA0045.jpeg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom