Kuna haja ya kuboresha kitabu cha 'wageni' gesti

Kuna haja ya kuboresha kitabu cha 'wageni' gesti

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,669
Reaction score
860,994
Unaweza kunishangaa kwa mada kama hii na kufikiri nimewaza nini.. Lakini kama hili likifanikiwa tutakuwa tumesaidia kutatua tatizo kubwa sana

Wote tunatambua kwamba guest house ama nyumba za wageni kwa zaidi ya asilimia 80 zinatumika ndivyo sivyo... Kwa asilimia zote hizo huko ni machimbo ya ufuska, umalaya na ngono kwa wanafunzi, wamaume na wanawake wasio waaminifu kwenye ndoa zao, ma bar maid, beki tatu nknk

Ni kwa asilimia chache sana nyumba hizi hutumika kwa usahihi... Kwamba mtu ni mgeni kweli wa hilo eneo na hana ndugu au jamaa au rafiki, ama jamaa yake kutokana na ufinyu wa nyumba yake basi akuchukulie chumba gesti.. Na ni kwa asilimia chache zaidi mtu kuchukua chumba na kulala peke yake[emoji30][emoji848][emoji144]

Mapato ya hizi nyumba hutegemea 'wageni ' wa muda mfupi maarufu kama short time

Sasa basi kwa wale wanaolala kwa sababu zozote zile maranyingi hujaza kumbukumbu za uongo kwenye kitabu husika, kuanzia jina, kabila, mawasiliano mahali atokapo nknk.. Hili huwa gumu mara litokeapo tatizo kwa mgeni
Hivyo basi ni vema kwenye kile kitabu kikaongezwa kipengele cha MAWASILIANO YA MTU WA KARIBU ama msiri in case of emergency..

Pindi likitokea tatizo lolote hasa la ugonjwa ama kifo ni rahisi kwa wanaokujua kupata taarifa mapema na kutafuta msaada wa haraka.. Unaweza kufia gesti na mtu uliyekuwa naye akasepa kisha ukaishia mochwari na baadae kuzikwa na manispaa


Jr[emoji769]
 
mh...ila sometimes bora kuzikwa na manispaa kuliko aibu ya kufia gesti, maana kwa perception yetu sie wabongo wengi moja kwa moja tunaamini mtu kufia gest ni mambo ya uzinz

thanks to god the almighty
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Wahudumu wa Nyumba za Wageni ni miongoni mwa ajira dhariri kabisa hapa nchini, na kimsingi malipo ya Short Time ndo yanawaweka mjini. Katika mazingira ya aina hii unategemea kupata taarifa sahihi kweli. ? Mshana my Brother!!
 
Unaweza kunishangaa kwa mada kama hii na kufikiri nimewaza nini.. Lakini kama hili likifanikiwa tutakuwa tumesaidia kutatua tatizo kubwa sana
Wote tunatambua kwamba guest house ama nyumba za wageni kwa zaidi ya asilimia 80 zinatumika ndivyo sivyo... Kwa asilimia zote hizo huko ni machimbo ya ufuska, umalaya na ngono kwa wanafunzi, wamaume na wanawake wasio waaminifu kwenye ndoa zao, ma bar maid, beki tatu nknk
Ni kwa asilimia chache sana nyumba hizi hutumika kwa usahihi... Kwamba mtu ni mgeni kweli wa hilo eneo na hana ndugu au jamaa au rafiki, ama jamaa yake kutokana na ufinyu wa nyumba yake basi akuchukulie chumba gesti.. Na ni kwa asilimia chache zaidi mtu kuchukua chumba na kulala peke yake[emoji30][emoji848][emoji144]
Mapato ya hizi nyumba hutegemea 'wageni ' wa muda mfupi maarufu kama short time
Sasa basi kwa wale wanaolala kwa sababu zozote zile maranyingi hujaza kumbukumbu za uongo kwenye kitabu husika, kuanzia jina, kabila, mawasiliano mahali atokapo nknk.. Hili huwa gumu mara litokeapo tatizo kwa mgeni
Hivyo basi ni vema kwenye kile kitabu kikaongezwa kipengele cha MAWASILIANO YA MTU WA KARIBU ama msiri in case of emergency.. Pindi likitokea tatizo lolote hasa la ugonjwa ama kifo ni rahisi kwa wanaokujua kupata taarifa mapema na kutafuta msaada wa haraka.. Unaweza kufia gesti na mtu uliyekuwa naye akasepa kisha ukaishia mochwari na baadae kuzikwa na manispaa


Jr[emoji769]
Njia ya kupata taarifa sahihi, ni kuomba kitambulishi tu. MTU kama hana kitambulisho hapati chumba.
 
Ukisema tuweke mawasiliano ya wandani wetu wa karibu, bado tunaweza tukaweka zile namba za matapeli wa kwenye mitandao.

Labda kuwe na utaratibu wa kufunga kamera za ulinzi kwenye nyumba zote za wageni halafu kila ifikapo mwisho wa wiki, balozi na mwenyekiti wa mtaa waitwe na wamiliki kwenda kuwatambua wageni wote waliolala kwenye gesti husika kwa huo muda wote wa wiki nzima. Hakika tutaanza kwenda vichakani na maporini.
 
Nilikua Makete, Mwakauta, miaka ya 2013. Lile eneo ngono inafanyika sana msituni na vichakani kwakua gesti ipo kilomita tano kutoka kijiji na inamilikiwa na kanisa ili uingie utatoa vitambulisho hadi utakoma.
 
Unaweza kunishangaa kwa mada kama hii na kufikiri nimewaza nini.. Lakini kama hili likifanikiwa tutakuwa tumesaidia kutatua tatizo kubwa sana
Wote tunatambua kwamba guest house ama nyumba za wageni kwa zaidi ya asilimia 80 zinatumika ndivyo sivyo... Kwa asilimia zote hizo huko ni machimbo ya ufuska, umalaya na ngono kwa wanafunzi, wamaume na wanawake wasio waaminifu kwenye ndoa zao, ma bar maid, beki tatu nknk
Ni kwa asilimia chache sana nyumba hizi hutumika kwa usahihi... Kwamba mtu ni mgeni kweli wa hilo eneo na hana ndugu au jamaa au rafiki, ama jamaa yake kutokana na ufinyu wa nyumba yake basi akuchukulie chumba gesti.. Na ni kwa asilimia chache zaidi mtu kuchukua chumba na kulala peke yake[emoji30][emoji848][emoji144]
Mapato ya hizi nyumba hutegemea 'wageni ' wa muda mfupi maarufu kama short time
Sasa basi kwa wale wanaolala kwa sababu zozote zile maranyingi hujaza kumbukumbu za uongo kwenye kitabu husika, kuanzia jina, kabila, mawasiliano mahali atokapo nknk.. Hili huwa gumu mara litokeapo tatizo kwa mgeni
Hivyo basi ni vema kwenye kile kitabu kikaongezwa kipengele cha MAWASILIANO YA MTU WA KARIBU ama msiri in case of emergency.. Pindi likitokea tatizo lolote hasa la ugonjwa ama kifo ni rahisi kwa wanaokujua kupata taarifa mapema na kutafuta msaada wa haraka.. Unaweza kufia gesti na mtu uliyekuwa naye akasepa kisha ukaishia mochwari na baadae kuzikwa na manispaa


Jr[emoji769]
Sasa kama jina tu anajaza feki je mawasiliano ya mtu wa karibu atashindwa kujaza mawasiliano feki?


Mimi nadhani solution ni kila anayeingia gesti kabla ya kupewa chumba atoe kitambulisho na muhudumu ajaze jina la kwenye kitambulisho...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom